Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
- Thread starter
- #21
Nakubaliana naweHuyu jamaa haimbwi, lakini alikuwa nje muda mrefu kwa majeraha. Amepona na amerudi, ni moto wa kuotea mbali
View attachment 2946034
,
Nakubaliana naweHuyu jamaa haimbwi, lakini alikuwa nje muda mrefu kwa majeraha. Amepona na amerudi, ni moto wa kuotea mbali
View attachment 2946034
,
Utopolo washindwe wenyewe tuWote, hadi sasa, wana kadi tatu za njano. Ni hawa:
RISK OF SUSPENSION
This table lists all players who are injured, sick and suspended, and those, who are at risk of facing suspension.
Compact
Detailed
Player Age Yellow cards Appearances Cards/Match
Ronwen Williams Goalkeeper 32 3 15 0.20
Bongani Zungu Central Midfield 31 3 11 0.27
Mothobi Mvala Centre-Back 29 3 7 0.43
Marcelo Allende Attacking Midfield 24 3 12 0.25
Teboho Mokoena Central Midfield 27 3 13 0.23
Tuletee za yangaNimeokoteza au nimetafuta mwenyewe? Mkuu, kadi 3 za njano huweza kumsimamisha mchezaji kucheza...hata hapa Tanzania hutokea hivyo
Huwa ninadahani ni kadi tatu katika mashindano yapil kaani kwa mfano kama ana kadi mbili kwenye Azam Federation, na kadi moja kwenye NBC Premier sidhani kama hizo zitamzuia kucheza kwenye CAF Championship.Nimeokoteza au nimetafuta mwenyewe? Mkuu, kadi 3 za njano huweza kumsimamisha mchezaji kucheza...hata hapa Tanzania hutokea hivyo
Ni mashindano ya CAF MkuuHuwa ninadahani ni kadi tatu katika mashindano yapil kaani kwa mfano kama ana kadi mbili kwenye Azam Federation, na kadi moja kwenye NBC Premier sidhani kama hizo zitamzuia kucheza kwenye CAF Championship.
Hebu toa ufafanuzi kidogo kabla sijapanda jukwaani kupiga kelele waondolewe kwenye roster.
Yello cards za Ronwen Williams zote ni huko kwenye ligi ya South Africa DSTv Previewreship
View attachment 2946440
Ni mashindano ya CAF Mkuu
Sasa nimechemka nini Mkuu? Mimi nimeleta habari yangu, nawe umeleta yako...vyanzo tofauti.
Vyanzo vyote vinaonyesha takwimu sawa, tatizo umekilisha maneno chanzo chako. Inachoonyeshwa hapo yellow card 3 ni za ligi ya ndani sio CAFCL kama unavyotaka kumaanisha weweSasa nimechemka nini Mkuu? Mimi nimeleta habari yangu, nawe umeleta yako...vyanzo tofauti.
Wapi kwenye mada yangu nimesema unavyosemaVyanzo vyote vinaonyesha takwimu sawa, tatizo umekilisha maneno chanzo chako. Inachoonyeshwa hapo yellow card 3 ni za ligi ya ndani sio CAFCL kama unavyotaka kumaanisha wewe
Young Africans 3 - 0 MamelodAKIINGIA KWENYE MFUMO TU, YANGA TUNAMFURAHISHA