'Masandawana' hawa waweza kusimamishwa kupambana na Yanga Benjamin Mkapa tarehe 30/3/2024

Wote, hadi sasa, wana kadi tatu za njano. Ni hawa:

RISK OF SUSPENSION​

This table lists all players who are injured, sick and suspended, and those, who are at risk of facing suspension.
Compact
Detailed

PlayerAgeYellow cardsAppearancesCards/Match
Ronwen Williams
Ronwen Williams
Goalkeeper
323150.20
Bongani Zungu
Bongani Zungu
Central Midfield
313110.27
Mothobi Mvala
Mothobi Mvala
Centre-Back
29370.43
Marcelo Allende
Marcelo Allende
Attacking Midfield
243120.25
Teboho Mokoena
Teboho Mokoena
Central Midfield
273130.23
Utopolo washindwe wenyewe tu
 
Nimeokoteza au nimetafuta mwenyewe? Mkuu, kadi 3 za njano huweza kumsimamisha mchezaji kucheza...hata hapa Tanzania hutokea hivyo
Huwa ninadahani ni kadi tatu katika mashindano yapil kaani kwa mfano kama ana kadi mbili kwenye Azam Federation, na kadi moja kwenye NBC Premier sidhani kama hizo zitamzuia kucheza kwenye CAF Championship.

Hebu toa ufafanuzi kidogo kabla sijapanda jukwaani kupiga kelele waondolewe kwenye roster.

Yello cards za Ronwen Williams zote ni huko kwenye ligi ya South Africa DSTv Previewreship

1711591577192.png
 
Huwa ninadahani ni kadi tatu katika mashindano yapil kaani kwa mfano kama ana kadi mbili kwenye Azam Federation, na kadi moja kwenye NBC Premier sidhani kama hizo zitamzuia kucheza kwenye CAF Championship.

Hebu toa ufafanuzi kidogo kabla sijapanda jukwaani kupiga kelele waondolewe kwenye roster.

Yello cards za Ronwen Williams zote ni huko kwenye ligi ya South Africa DSTv Previewreship

View attachment 2946440
Ni mashindano ya CAF Mkuu
 
Sasa nimechemka nini Mkuu? Mimi nimeleta habari yangu, nawe umeleta yako...vyanzo tofauti.
 
Sasa nimechemka nini Mkuu? Mimi nimeleta habari yangu, nawe umeleta yako...vyanzo tofauti.
Sasa nimechemka nini Mkuu? Mimi nimeleta habari yangu, nawe umeleta yako...vyanzo tofauti.
Vyanzo vyote vinaonyesha takwimu sawa, tatizo umekilisha maneno chanzo chako. Inachoonyeshwa hapo yellow card 3 ni za ligi ya ndani sio CAFCL kama unavyotaka kumaanisha wewe
 
Back
Top Bottom