Masaburi na mkutano wa SIRI Courtyard hotel na wahariri

Game Theory

JF-Expert Member
Sep 5, 2006
8,545
837
Wana JF, Meya wa Dar bwana Didas Masaburi baada ya kuelemewa na tuhuma nzito za kashfa ya UDA ijumaa iliyopita alifanya mkutano na wahariri wa vyombo vifuatavyo vya habari kwenye hoteli ya courtyard. Ajenda kubwa ilikuwa kuangalia uwezekano wa wao kupata bakhshishi za pesa including za matangazo ili wajaribu kurudisha upepo juu ya hii kashfa ya UDA

Sasa inaonekana kuna watu washavunja ranks toka kwenye team yake bwana Masaburi na zile ahadi kemkem zilizotolewa inaonekana wenye vyombo vya habari vyenye kelele sana wamepata zaidi ya wenzao na sasa washaanza kutajana na hiyo milungula ambayo imeandaliwa ili kusawazisha mambo na kupindisha ukweli.

Wahariri waliohudhuria walitoka:

UHURU RADIO na GAZETI
GAZETI LA CHANGAMOTO
CHANNEL 10
STAR TV
RADIO FREE AFRICA
RADIO ONE
ITV
HABARI LEO
DAILY NEWS
TANZANIA DAIMA
MWANAHALISI

hii inathibitisha kuwa hawa watu wa MAINSTREAM MEDIA ni part of the problem kwani bila haya wanakubali kuitwa kwenye vikao vya kupewa rushwa na kununuliwa misosi pale Courtyard Hotel ili wapate kupindisha ukweli kuhusu hili sakata la UDA na kumpunguzia Presha Meya. Sasa katika hiin war chest ambayo inatazamwa na Bwana Iddi Simba kupitia kwa jamaa yake ni kununua airtime na kampeni zakumsafisha Masaburi, Iddi Simba na uongozi mzima wa ofisi ya mstahiki meya.

 
6a00d834522fa869e201156f8dda44970c-500wi


part of the problem...mbaya zaidi hata INVISIBLE hawakumuita ku attand kwani wanaona JF haina influence yoyote ile
 
Kuna haja Kwa Jamii Forum kuhudhuria mikutano kama hiyo ili tupate habari kwa kina
 
Kama SIRI unaisema mbele ya vipaza sauti, tena vikiwa "ON" basi si siri tena. Labda kama neno siri limebadili maana!
 
Wana JF, Meya wa Dar bwana Didas Masaburi baada ya kuelemewa na tuhuma nzito za kashfa ya UDA ijumaa iliyopita alifanya mkutano na wahariri wa vyombo vifuatavyo vya habari kwenye hoteli ya courtyard. Ajenda kubwa ilikuwa kuangalia uwezekano wa wao kupata bakhshishi za pesa including za matangazo ili wajaribu kurudisha upepo juu ya hii kashfa ya UDA

Sasa inaonekana kuna watu washavunja ranks toka kwenye team yake bwana Masaburi na zile ahadi kemkem zilizotolewa inaonekana wenye vyombo vya habari vyenye kelele sana wamepata zaidi ya wenzao na sasa washaanza kutajana na hiyo milungula ambayo imeandaliwa ili kusawazisha mambo na kupindisha ukweli.

Wahariri waliohudhuria walitoka:

UHURU RADIO na GAZETI
GAZETI LA CHANGAMOTO
CHANNEL 10
STAR TV
RADIO FREE AFRICA
RADIO ONE
ITV
HABARI LEO
DAILY NEWS
TANZANIA DAIMA
MWANAHALISI

hii inathibitisha kuwa hawa watu wa MAINSTREAM MEDIA ni part of the problem kwani bila haya wanakubali kuitwa kwenye vikao vya kupewa rushwa na kununuliwa misosi pale Courtyard Hotel ili wapate kupindisha ukweli kuhusu hili sakata la UDA na kumpunguzia Presha Meya. Sasa katika hiin war chest ambayo inatazamwa na Bwana Iddi Simba kupitia kwa jamaa yake ni kununua airtime na kampeni zakumsafisha Masaburi, Iddi Simba na uongozi mzima wa ofisi ya mstahiki meya.



First i don't understand the whole of your story kwani haieleweki na taarifa ulizoleta hapa zinaonekana na wewe ni mhusika katika hao walioongwa labda "deal zimepishana tu".Pia naomba kuwa tofauti na wewe juu ya Masaburi,sincerely the guy is more better than those who owned UDA and make dead of it.Tusiwe wa kulaumu tu,waliokuwa wanaisimamia UDA walikula ngapi mpaka ikafa na kuanza kuuza rasilimali nyingine eti kusupport?

Mtu huyu ameweza kuonyesha ukomavu wa uongozi kwa kupitia miradi yote inayoliwa kinyemela na wajanja wachache.Tazama mchina kariakoo analipa milioni mbili laki nne kwa mwezi, wajanja wanawasilisha laki 3 haya tungeyajua bila ya Masaburi?

UDA tunayoililia ilikwisha tufia mikononi na viongozi hao hao.Bora Masaburi ata kama ni mwizi (sina uthibitisho) kuliko waliojifanya si wezi huku wamefilisi mali zetu.No matter UDA inakuwa owned na nani,sisi tunachotaka ni huduma bora na ya uhakika Dar es salaam japo ubovu wa miundo mbinu unachangia.
 
Dah hiyo 'title' imenishtua sana baadaye nikakumbuka kumbe ni jina la mtu. Vijana humu jamvini hatari sana yaani wanaweza wakabadili kabisa matumizi ya jina la mtu. Ha ha ha ha ha ha haaa
 
Anaweza kuwa mjinga lakini si mpumbavu kiasi hicho; kuna media hapo ambazo wahariri wake wangevuna heshima zaidi kuanika uozo kama huo kuliko kuchukua vijimilioni vya vocha!!!!! Nashawishika kusema umetumia MASABURI kuanzisha hii thread!
 
Duh!

Sasa nimeivulia kofia JF hivi nyinyi kuna jambo linaendelea mji huu msilojua?

Hii habari ina ukweli wa Asilimia 150 na naona mleta habari hakueleza kila kiitu kilivyokuwa. Kule nyumae kile chumba cha mkutano kulifanyika kikao kingine cha watu 5 tu (Meya na watu wake 5). Pesa hazikuahidiwa openly ina nijuavyo kuna wahariri 4 wa magazeti "utaratibu" ushaanza kufanywa japo si moja kwa moja.

Haya mambo ya Internet kwa kweli yanarahsisha sana issues. Once again JF mko mbele kwenye kutuletea ya jikoni.

Much respect!
 
Nilikuwepo Movenpick kwenye mdahalo wa UDA, baada ya kongamano Kubenea akawa anachat na bwana kisena, yaani kama marafiki flani wa muda mrefu, nikahisi katika toleo linalofata halitakua na kitu na kweli jumatano ilopita mwanahalisi lilikua kimya kabisa kuhusu UDA, kubenea inabidi kuangalia upya mustakabali wa gazeti
 
Jerry Slaa alikuwepo au?

mimi sikuzote nimekuwa nikisema media yetu ni ovyo na mkombozi aliyebaki ni JF peke yake bas!

sasa nyie JF mnakuwa mnajua vipi haya mambo?
 
Back
Top Bottom