Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 837
Wana JF, Meya wa Dar bwana Didas Masaburi baada ya kuelemewa na tuhuma nzito za kashfa ya UDA ijumaa iliyopita alifanya mkutano na wahariri wa vyombo vifuatavyo vya habari kwenye hoteli ya courtyard. Ajenda kubwa ilikuwa kuangalia uwezekano wa wao kupata bakhshishi za pesa including za matangazo ili wajaribu kurudisha upepo juu ya hii kashfa ya UDA
Sasa inaonekana kuna watu washavunja ranks toka kwenye team yake bwana Masaburi na zile ahadi kemkem zilizotolewa inaonekana wenye vyombo vya habari vyenye kelele sana wamepata zaidi ya wenzao na sasa washaanza kutajana na hiyo milungula ambayo imeandaliwa ili kusawazisha mambo na kupindisha ukweli.
Wahariri waliohudhuria walitoka:
UHURU RADIO na GAZETI
GAZETI LA CHANGAMOTO
CHANNEL 10
STAR TV
RADIO FREE AFRICA
RADIO ONE
ITV
HABARI LEO
DAILY NEWS
TANZANIA DAIMA
MWANAHALISI
hii inathibitisha kuwa hawa watu wa MAINSTREAM MEDIA ni part of the problem kwani bila haya wanakubali kuitwa kwenye vikao vya kupewa rushwa na kununuliwa misosi pale Courtyard Hotel ili wapate kupindisha ukweli kuhusu hili sakata la UDA na kumpunguzia Presha Meya. Sasa katika hiin war chest ambayo inatazamwa na Bwana Iddi Simba kupitia kwa jamaa yake ni kununua airtime na kampeni zakumsafisha Masaburi, Iddi Simba na uongozi mzima wa ofisi ya mstahiki meya.
Sasa inaonekana kuna watu washavunja ranks toka kwenye team yake bwana Masaburi na zile ahadi kemkem zilizotolewa inaonekana wenye vyombo vya habari vyenye kelele sana wamepata zaidi ya wenzao na sasa washaanza kutajana na hiyo milungula ambayo imeandaliwa ili kusawazisha mambo na kupindisha ukweli.
Wahariri waliohudhuria walitoka:
UHURU RADIO na GAZETI
GAZETI LA CHANGAMOTO
CHANNEL 10
STAR TV
RADIO FREE AFRICA
RADIO ONE
ITV
HABARI LEO
DAILY NEWS
TANZANIA DAIMA
MWANAHALISI
hii inathibitisha kuwa hawa watu wa MAINSTREAM MEDIA ni part of the problem kwani bila haya wanakubali kuitwa kwenye vikao vya kupewa rushwa na kununuliwa misosi pale Courtyard Hotel ili wapate kupindisha ukweli kuhusu hili sakata la UDA na kumpunguzia Presha Meya. Sasa katika hiin war chest ambayo inatazamwa na Bwana Iddi Simba kupitia kwa jamaa yake ni kununua airtime na kampeni zakumsafisha Masaburi, Iddi Simba na uongozi mzima wa ofisi ya mstahiki meya.