Marufuku kuonyesha filamu ya Fifty Shades of Grey

Nimeangalia jana.... sijaona hata la ajabu hivyooo kusema ikatazwe kuonyesha ina scene za kimapenzi ila sio nasty kihivyoo Inapendeza uangalie na mwenza wako lol..

Nimempenda Christian... yaani ni yule mkaka romantic.. smart.. confident... ukiachie zile habari za whipping na mambo ya kuwa submissive... kama ni mpenzi wako anakupa sababu ya kumpenda zaidi na zaidi. Wakati naangalia nilikua na imagine mavitu kibao. Sijapenda ilivyoishia though au itakua na muendelezo??

Hawa walioiban ndio wamenipa sababu ya kuzidi kuitafuta zaidi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
....Itaendelea Heaven on Earth, vitabu viko vitatu na hii iliyotoka ni ya kitabu kimoja tu.

Nimeangalia jana.... sijaona hata la ajabu hivyooo kusema ikatazwe kuonyesha ina scene za kimapenzi ila sio nasty kihivyoo Inapendeza uangalie na mwenza wako lol..

Nimempenda Christian... yaani ni yule mkaka romantic.. smart.. confident... ukiachie zile habari za whipping na mambo ya kuwa submissive... kama ni mpenzi wako anakupa sababu ya kumpenda zaidi na zaidi. Wakati naangalia nilikua na imagine mavitu kibao. Sijapenda ilivyoishia though au itakua na muendelezo??

Hawa walioiban ndio wamenipa sababu ya kuzidi kuitafuta zaidi.
 
Last edited by a moderator:
mmh kweli kuongoza watu milion 40 ni kazi, hapo kama itaruhusiwa kuna watu wataongea, imepigwa marufuku mnaongea....
 
Back
Top Bottom