Jamani kuepusha kasheshe kuchunguzana na ugomvi wa uzushi Kwenye mapenzi kwa nini msioe au date your best friend?
Marry your best friend mtu unaemjuaCause you might end up loosing your best friend as well... (turning him/her into an enemy)
I think you have it backwards..., we need to make our partners our best friends and not necessarily making our best friends partners) ..., There's a big difference between the two
ISSUE IPO HIVI
Wanawake huwa Wanapenda wasipopendwa na kuwaumiza wale wanaowapenda kwa kuwakataa na kukumbatia Vimeo wasio na Shukrani kwa kupendwa!
Shida ya Wanaume ni pale wanapokazana kuwaumiza wale wadada wa watu maskini wanaowapenda mpaka kufa na kupenda ile Migubegube isiyo na hadhi ambao wako kwa ajili ya Physical Appearance au Hela bila Mapenzi ya dhati!
MWISHO NDOA VIMEO
Marry your best friend mtu unaemjua
ISSUE IPO HIVI
Wanawake huwa Wanapenda wasipopendwa na kuwaumiza wale wanaowapenda kwa kuwakataa na kukumbatia Vimeo wasio na Shukrani kwa kupendwa!
Shida ya Wanaume ni pale wanapokazana kuwaumiza wale wadada wa watu maskini wanaowapenda mpaka kufa na kupenda ile Migubegube isiyo na hadhi ambao wako kwa ajili ya Physical Appearance au Hela bila Mapenzi ya dhati!
MWISHO NDOA VIMEO
Is in't it the other way round? Kwamba mkiwa wapenzi mnaweza kufichana (hata bila kufanya kusudi) ila mkiwa marafiki ndio mnajiachia? Sokwe Mjanja ningependa nikuskie on this topic.Ukweli ni kwamba katika urafiki kuna kuficha uhalisia wetu, siku mkiwa wapenzi ndio utajua yaliyofichika.
Jamani kuepusha kasheshe kuchunguzana na ugomvi wa uzushi Kwenye mapenzi kwa nini msioe au date your best friend?
Is in't it the other way round? Kwamba mkiwa wapenzi mnaweza kufichana (hata bila kufanya kusudi) ila mkiwa marafiki ndio mnajiachia? Sokwe Mjanja ningependa nikuskie on this topic.
Jamani kuepusha kasheshe kuchunguzana na ugomvi wa uzushi Kwenye mapenzi kwa nini msioe au date your best friend?
Is in't it the other way round? Kwamba mkiwa wapenzi mnaweza kufichana (hata bila kufanya kusudi) ila mkiwa marafiki ndio mnajiachia? Sokwe Mjanja ningependa nikuskie on this topic.
Inategemea best friends wengine anakuwa amekuzoe tu akaamini anakupenda akikuweka ndani ndo anagundua haukuwa upendo na urafiki unakwisha mnaishi kama hamkuwahi kuwa marafiki.Jamani kuepusha kasheshe kuchunguzana na ugomvi wa uzushi Kwenye mapenzi kwa nini msioe au date your best friend?