Mimi ni mwanaume niliyeoa, ninatamani pia kupata mke wa mtu mwingine, vipi unaweza kuni-PM namba ya wife wako? Maana unaonekana umemchoka though unadmit kuwa she is very smart and idealistic.
Niko kwenye PM.
Hapo hapana! Unataka urafiki na mke wa mtu alafu? Kwanini unakataa kumpa Kanigini namba ya mkeo?
That trick is too cheap bro, tafuta njia nyingine.
Wake za watu ni washauri wazuri sana. Hata mimi sijaoa ila nina marafiki wengi ambao ni wake za watu. Wananishauri sana, na ushauri wao siku zote umekuwa positive. I like and love them
akili yako ndo inawaza uzinzi
kwanza wewe huna lady friends.? au una mentality ' utakua unashika mapembe'
Kwanini awe mke wa mtu na siyo mme wa mtu?
Vipi kuhusu mtalaka/mjane?
Hata sikuelewi manake it must either be love or lust, sasa kamanda wangu kama umekataa yote mi nielewe nini? Umesimama wapi? You must either be cold or warm, you can't be cold and warm at the same time. Its just a logical contradiction, and this renders the whole argument fallacious!!!!hapa hamna love wala lust.
try it utaona, its very helpful for both of the marriages.
na mimi nimeamua kutafuta mke wa mtu ambaye mumewe hana muda naye
purpose ni kuongea naye na kushauriana mambo kadhaa
recently nimegundua married women are very smart and idealistic (my wife included)
alafu wengi ni washauri wazuri sana tatizo everyone avoids kuwazoea
am considering the ones aged between 20 - 40 only cz I also fall under the same age range
awe serious na aheshimu mipaka particularly matumizi ya simu.
Nipo kwenye PM
duh jf kuna kila vitu, vijambo na viroja etc
Acha fujo Mathematics,watu wanataka ku extend ndoa zao hapo kiroja kiko wapi?
Mimi ni mwanaume niliyeoa, ninatamani pia kupata mke wa mtu mwingine, vipi unaweza kuni-PM namba ya wife wako? Maana unaonekana umemchoka though unadmit kuwa she is very smart and idealistic.
Niko kwenye PM.