PM,
Nimesoma maelezo yako na asante kwa kufanya juhudi kutuelemisha.
Ila kwa mawazo yangu naona msimwingize huyo mama kwenye mambo ya siasa.
Kufiwa na mume tena uliyekuwa unamtegemea kwa mambo mengi ni jambo kubwa mno.[/quote]
To be frank, I am lost here! There are wives who butcher their husbands despite the fact that they depend on their husbands for "everything".
PM,
Nimesoma maelezo yako na asante kwa kufanya juhudi kutuelemisha.
Ila kwa mawazo yangu naona msimwingize huyo mama kwenye mambo ya siasa.
Kufiwa na mume tena uliyekuwa unamtegemea kwa mambo mengi ni jambo kubwa mno.
kwa nini rostam aziz asihojiwe kuhusiana na kifo cha wangwe?
kwa kuwa magazeti yake yaliandika kuhusu nadharia ya ajali za kubuni, kuwa huenda accelerator ilifungiwa jiwe, baada ya hapo mtikila naye anazungumza habari hizi.
kwa nini tuasiamini kuwa rostam azizi alifanya njama na huyu mariam wakamuua wangwe, halafu wakaanza kupandfikiza mbegu ya uhasama dhidi ya chadema, ili kuzuia chadema wasizungumzie yale mambo yake ya wizi wa pesa za epa?
Wakati wa maziko, shughuli iliandaliwa na familia kwa ushirikiano na CHADEMA, chama mfiwa na Zitto Kabwe akateuliwa kuingia kwenye kamati.
Wakati wa maandalizi ya arobaini, CHADEMA haikushirikishwa kwa namna yoyote badala yake walishirikishwa CCM, NCCR, CUF na TLP.
Mimi kama mwandishi naenda mbali zaidi kuuliza maswali kuhusu yote haya ninayoona ili nisiandike tu nilichoona au kuambiwa, niandike kilivyo. Ndio maana ya habari za uchunguzi.
Msiba ulikuwa Kimakorere, lakini arobaini ilifanyika kwa Profesa DSM. Hii ni kwakuwa kule pamoja na kuwa alibaki Kaka wa Marehemu Bwana Keba lakini pia alikuwa Mke mkubwa. Na uzito usingekuwepo kama DSM. Tulipopewa nakala ya Risala ya Wanandugu, wengine tuliisoma katika jicho la uchambuzi na kuwauliza maswali mengi pale pale.
Kwa kweli kuna siasa nyingi katika huu msiba zinazofanywa na vyama vyote.
PM
PM,
Nimesoma maelezo yako na asante kwa kufanya juhudi kutuelemisha.
Ila kwa mawazo yangu naona msimwingize huyo mama kwenye mambo ya siasa.
Kufiwa na mume tena uliyekuwa unamtegemea kwa mambo mengi ni jambo kubwa mno.
Ni kweli kufiwa na mume ni jambo zito sana, lakini ndio afikie hatua ya kuanza kutuhumu watu hadharani wakati yeye mwenyewe anakiri kuwa hana ushahidi kuwa mumewe aliuawa?
Kwa ufupi anaipenda siasa... Tukumbuke amekutana na Marehemu akiwa tayali ni mbunge maarufu...Kama hataki kuingizwa kwenye siasa, basi akae pembeni ili asiingizwe, lakini akiendelea kujiingiza then itakua ni fair kumchambua!
PM,
Nimesoma maelezo yako na asante kwa kufanya juhudi kutuelemisha.
Ila kwa mawazo yangu naona msimwingize huyo mama kwenye mambo ya siasa.
Kufiwa na mume tena uliyekuwa unamtegemea kwa mambo mengi ni jambo kubwa mno.
...............huyu mama anatumika...kwanza arubaini haipo kwa wakiristo..na sana sana kuna kitu kinaitwa kuvunja tanga ambayo kwa kawaida ni siku inayopangwa na ndugu inaweza kuwa baada ya msiba pia ..ambapo watu wanaodai au kudaiwa na marehemu hujitokeza.,,warithi wa familia ,[kama kuna wosia],msimamizi wa mirathi huchaguliwa...na mambo yote mazito kifamilia ie kama una watoto nje ya ndoa lazima wawekwe wazi na mashuhuda kwenye hatua hii ili ukoo uwatambue...
kimsingi shughuli hii ya msiba [ambayo wenzetu hupenda kuiita arobaini],na wakiristo wengi tumeiga kwa wenzetu ..hutumika kwa minajili hapo juu...na sehemu muafaka ni sehemu marehemu alipozikwa ..kwa kuwa marehemu hakuzikwa dar ...hakuna mantiki ya kufanyia arobaini dar...
kigezo cha pili arobaini lazima ifanyike sehemu ambayo ndugu wengi wa marehemu wanawweza kupatikana...ie kama ilifanyika dar na watoto wote wa marehemu na wake zake wote wakaweza kufika ingekuwa na ,mantiki...lakini kama mke mke mdogo ameamua kuteka shughuli hii kwa manufaa fulani ...ni jambo la ajabu..na litaendelea kumletea migogoro huko tarime....
Kabla ya yote ni vizuri kumuuliza huyu mama kuwa iweje alipofika tu kuona mwili wa mume wake akakimbilia card za benki. Hivi amewakilisha hizo card za benki kwa wanafamilia? Hivi uhusiano wake na wake watatu wa wangwe aliozaa nao watoto lukuki na kupambana pamoja hadi alipoukwa ubunge ukoje? Hivi iweje mama huyu na usomi wake wote pamoja na connection yake kifamilia na vigogo wa asasi nyeti nchini akae nyumbani bila ya kazi yoyote miaka yote hiyo? Hivi iweje Marehemu Chacha aanze juhudi za kuvuruga CHADEMA mara tu alipoliingia penzi la mama huyu ambaye ni mwanachama wa damu wa tabaka tawala lilojaa ufisadi?
Hivi sio huyu mama ndiye aliyekuwa akisaidiana na GACHUMA, Binamu wa Marehemu Mzee KEBA aliyesimamia kifungo cha Chacha gerezani wakati ule, na mawaziri wa CCM akiwemo Mama Kabaka kusammbaza sumu za kuwa Chacha aliuawa na maadui ni CHADEMA? Sasa alitegemea nini kutoka kwa viongozi wa CHADEMA wakati ni yeye aliyekuwa akiwalisha sumu ya chuki hadi wanafamilia ambao ukitoa kada KEBA hapo kabla hawakuwa na tatizo na wanaCHADEMA? Labda akamuulize RPC na RC ni kwa nini walimwambia kuwa hawatakuwa responsible na USALAMA wa Mbowe wakati ndio jukumu lao....
I mean kama huyu mama aliweza kuwa kipenzi cha wapinzani hovyo kina MBATIA, MREMA, LIPUMBA waliodandia lifti ya ndege ya MBOWE halafu wakafikia kumgeuka na sasa MTIKILA....ninamini kuwa hii inaweza ikawa missing link inayotafutwa kwa wale wenye kuamini kuwa marehemu Chacha hakufa kifo cha ajali ya kawaida....
Naamini huyu mama ndiye wa kubanwa maana ana mengi ya kufill the gaps haswa kuhusiana na watu ambao Marehemu Chacha Wangwe alikuwa akikutana nao mara kwa mara wiki chache kabla ya kifo chake....
Na pia tuangalie ajira halisi ya mama huyu........