Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,508
- 9,293
Rais wa Marekani mnamo siku ya Jumamosi, Septemba 14, alithibitisha kuwa wanajeshi wa nchi hiyo wamemua Hamza bin Laden.
Marehemu alikuwa mwanawe na pia mrithi wa mwanzilishi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda, Osama bin Laden, kama ilivyoripotiwa na The Sun.
Rais amethibitisha Hamza alifariki katika aliuawa katika operesheni ya Marekani. Picha: Trump
Kupitia kwa kitandazi cha Twitter cha rais huyo, Hamza aliuwawa wakati wa operesheni kali ya kukabiliana na magaidi katika mpaka wa Afghanistan na Pakistan
"Kifo cha Hamza bin Laden hakijadhihirisha uongozi muhimu wa Al-Qaeda na uhusiano wake na babake, lakini vitendo vya kihalifu vya kundi hilo,"
"Hamza bin Laden alikuwa kiongozi wa kupanga na pia kujihusisha na vikundi mbalimbali vya uhalifu," alisema Trump.
Serikali ya Marekani ilisema mwanawe kiongozi wa al Qaeda alikuwa ameanza kuwa kiongozi chipuka wa kundi la al-Qaeda.
"Amefichua jumbe za sauti na video kwenye mtandao, akiwataka wafuasi wake kuanzisha mashambulizi dhidi ya Marekani na waegemeaji wake wa Magharibi, na ametishia kuanzisha ushambulizi dhidi ya Marekani ili kulipiza kisasi mauaji ya mwezi Mei 2011 ya babake iliyofanywa na wanajeshi wa Marekani," ilisoma taarifa hiyo kutoka serikali ya Marekani.
Marehemu alikuwa mwanawe na pia mrithi wa mwanzilishi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda, Osama bin Laden, kama ilivyoripotiwa na The Sun.
Rais amethibitisha Hamza alifariki katika aliuawa katika operesheni ya Marekani. Picha: Trump
Kupitia kwa kitandazi cha Twitter cha rais huyo, Hamza aliuwawa wakati wa operesheni kali ya kukabiliana na magaidi katika mpaka wa Afghanistan na Pakistan
"Kifo cha Hamza bin Laden hakijadhihirisha uongozi muhimu wa Al-Qaeda na uhusiano wake na babake, lakini vitendo vya kihalifu vya kundi hilo,"
"Hamza bin Laden alikuwa kiongozi wa kupanga na pia kujihusisha na vikundi mbalimbali vya uhalifu," alisema Trump.
TUKO.co.ke ilikuwa imeripoti awali kuwa Marekani ilikuwa tayari kumpokeza yeyote aliyekuwa na taarifa kumhusu Hamza KSh 100 milioni.
Serikali ya Marekani ilisema mwanawe kiongozi wa al Qaeda alikuwa ameanza kuwa kiongozi chipuka wa kundi la al-Qaeda.
"Amefichua jumbe za sauti na video kwenye mtandao, akiwataka wafuasi wake kuanzisha mashambulizi dhidi ya Marekani na waegemeaji wake wa Magharibi, na ametishia kuanzisha ushambulizi dhidi ya Marekani ili kulipiza kisasi mauaji ya mwezi Mei 2011 ya babake iliyofanywa na wanajeshi wa Marekani," ilisoma taarifa hiyo kutoka serikali ya Marekani.