Marekani yasisitiza kuiadhibu Korea Kaskazini Muda wowote kabla ya 2018

Watageuza tena maneno; watapiga mayowe anaonewa! Team Kiduku ni wa ajabu kidogo. Mkuu wewe unaielewa vizuri Amerika; namwona Secretary of Defense na timu yake wakipiga kazi 18 hours a day to explore "different options" kabla ya kuzifikisha mezani pa Commander-in-Chief kwa ajili ya maamuzi ya mwisho. Sasa wanywa viroba humu wasiojua hata mkuki unashikwaje kelele tupu; wanadhani vita ni sawa na mdundiko.

Jambo lisilo na shaka ndani yake ni kwamba Kim anaenda kufanyiwa kitu mbaya no matter what; ni suala la muda tu; kwamba Kim atapigwa sio suala la mjadala.
ni uhakika nk itapotea ila hapatatokea wamarekani kufa wengi ndani ya ardhi yao kwa miongo tele ijayo,pia historia itaandikwa ipyaa usishangae iran ,china wakaliunga
 
Watageuza tena maneno; watapiga mayowe anaonewa! Team Kiduku ni wa ajabu kidogo. Mkuu wewe unaielewa vizuri Amerika; namwona Secretary of Defense na timu yake wakipiga kazi 18 hours a day to explore "different options" kabla ya kuzifikisha mezani pa Commander-in-Chief kwa ajili ya maamuzi ya mwisho. Sasa wanywa viroba humu wasiojua hata mkuki unashikwaje kelele tupu; wanadhani vita ni sawa na mdundiko.

Jambo lisilo na shaka ndani yake ni kwamba Kim anaenda kufanyiwa kitu mbaya no matter what; ni suala la muda tu; kwamba Kim atapigwa sio suala la mjadala.
ni uhakika nk itapotea ila hapatatokea wamarekani kufa wengi ndani ya ardhi yao kwa miongo tele ijayo,pia historia itaandikwa ipyaa usishangae iran ,china wakaliunga
 
Mwaka 2001 baada ya WTC kushambuliwa ile September 11 taifa la Pakistan ambalo linamiliki silaha za nyuklia waliambiwa wazi kabisa na Walker Bush kua wanakaa upande wa Bush au upande wa maadui? Pervez Musharraf aliekua rais wa Pakistan wakati huo alifyata mkia na kuchagua kukaa upande wa US. Maana alijua akikaa upande wa maadui anakula kichapo na nyuklia zake.


US mpk sasa ameshafanya maandalizi ya kutosha kuweza kuishambulia NOKO na tayari ABM ya THAAD imeshajengwa huko SOKO. ambayo itazuia vikombora vote va NOKO huku destroyers za kutosha ziko majini zikihakikisha noko hafurukuti kurusha hizo kombora zake.

So nyie pigeni kelele tu mziki ukianza mtaona noko imegeuka majivu
unaitaj kujifunz zaid kuhusu silaha za nyuklia n technolojia yake acha ushabiki
 


US military budget per year is 700$ billions while babayao Mrusi anaspend 90$ B per year. Alafu noko 10$ B per year. Alafu mtu wa B 700 aje apigwe na kijikiumbe cha B 10

Maajabu haya. Km mende kuangusha kabati
vita ya sku iz sio unatumia kiasi gani ni technolojia n mbinu zaidi
 
.Marekani ana mikwara hatari,sasa mbona anambana tena Mchina ilhali Mchina hayupo vitani,anatafuta huruma ya vikwazo vya China dhidi ya Korea kaskazini hasa vya kutompelekea mafuta,kama anajiamini ya nini? atafute huruma ya Mchina,tatizo la Marekani bila kuungwa mkono na kupata vibaraka wake wa Nchi za Magharibi huwa haendi vitani;naona vibaraka wake wamemnawa sasa anahangaika asijue la kufanya,nao walijifunza vita vya Iraq na Libya kwa makosa waliyoyafanya(Nchi za magharibi kupitia Nato)
Yaan ww uliyeandika hapa hujui choxhote juu ya marekani,haujui kwani hao unaowaita vibaraka wa marekani huwa wanenda vitani na marekani. Je unajua dhumuni la nato?

Je unajua warsaw pact. Humu ndani naona baadhi ya watu wanabwabwaja/roboka tu ila hawajui historia ya nchi za magharibi na nchi za mashariki.

Leo hii mtu anasema marekani anaogopa mpk anaenda kwa china ili amshinikize NK wakiona kuwa marekani anaogopa, yaani eti mrusi na mchina watamsaidia north korea,rubbish.

Je mnakumbuka vita vya akin marekan na washirika wake dhidu ya (yugoslavia) to form a federation of states in southeastern Europe, in the Balkans.?

Kipi kilitokea? Kule warsaw pact waliapa kuwa mshirika wake atakapogusua kivita na nchi yoyote kutoka nje ya warsaw pact,washirika wake wataingia vitani, siku ya siku yugoslavia akapigwa kipigo cha mbwa mwitu huku MSHIRIKA WAKE MKUU URUSI AKABAKI ANALALAMIKA TU,BILA HATA KUPELEKA WANAJESHI KUMSAIDIA MSHIRIKA WAKE. "KUMBUKA UPANDE WA WARSAW PACT MRUSI NDO ALIKUWA ANAONGOZA KWA NGUVU ZA KIJESHI,KISHA ANAFUTIA YUGOSLAVIA.

HUYO YUGOSLAVIA WAKT ULE ALIKUWA NA NGUVU ZA KIJESHI MARA 20 KULIKO NGUVU ZA KIJESHI ZA IRAQ. YA SADDAM HUSSEIN,LAKIN ALITWANGWA UKU MRUSI AKIANGALIA TU,KUMBUKA KWA ASILI YUGOSLAIA NA AKINA URUSI WANAO UHUSIANO WA KARIBU ZAIDI WA KIASILI.

Leo hii mtu baki NK ndo awe na uhusiano wa kusaidiwa kivita na mrusi? Ajabu..

Wakt mkidhani nk anao uwezo huo ktk nyukilia je mnazo data za uhakika kt ya AMERICA vs NORTH KOREA? Nuclear weapoan (Warheads) USA 7800 vs NK 6-10 (active).

Shusheni angalau data si blabla hapa!!!!!
 
Kuna siku hapa ndani wengi wataukana upande wa Pyongyang........kwenye kumbukumbu zangu hakuna siku hata moja hawa jamaa marekani wamekurupuka kwenye vita...muda woote wanajivuta lakini wakiamka wameamka
Kweli mkuu.
 
Watageuza tena maneno; watapiga mayowe anaonewa! Team Kiduku ni wa ajabu kidogo. Mkuu wewe unaielewa vizuri Amerika; namwona Secretary of Defense na timu yake wakipiga kazi 18 hours a day to explore "different options" kabla ya kuzifikisha mezani pa Commander-in-Chief kwa ajili ya maamuzi ya mwisho. Sasa wanywa viroba humu wasiojua hata mkuki unashikwaje kelele tupu; wanadhani vita ni sawa na mdundiko.

Jambo lisilo na shaka ndani yake ni kwamba Kim anaenda kufanyiwa kitu mbaya no matter what; ni suala la muda tu; kwamba Kim atapigwa sio suala la mjadala.
 
Yaan ww uliyeandika hapa hujui choxhote juu ya marekani,haujui kwani hao unaowaita vibaraka wa marekani huwa wanenda vitani na marekani. Je unajua dhumuni la nato?

Je unajua warsaw pact. Humu ndani naona baadhi ya watu wanabwabwaja/roboka tu ila hawajui historia ya nchi za magharibi na nchi za mashariki.

Leo hii mtu anasema marekani anaogopa mpk anaenda kwa china ili amshinikize NK wakiona kuwa marekani anaogopa, yaani eti mrusi na mchina watamsaidia north korea,rubbish.

Je mnakumbuka vita vya akin marekan na washirika wake dhidu ya (yugoslavia) to form a federation of states in southeastern Europe, in the Balkans.?

Kipi kilitokea? Kule warsaw pact waliapa kuwa mshirika wake atakapogusua kivita na nchi yoyote kutoka nje ya warsaw pact,washirika wake wataingia vitani, siku ya siku yugoslavia akapigwa kipigo cha mbwa mwitu huku MSHIRIKA WAKE MKUU URUSI AKABAKI ANALALAMIKA TU,BILA HATA KUPELEKA WANAJESHI KUMSAIDIA MSHIRIKA WAKE. "KUMBUKA UPANDE WA WARSAW PACT MRUSI NDO ALIKUWA ANAONGOZA KWA NGUVU ZA KIJESHI,KISHA ANAFUTIA YUGOSLAVIA.

HUYO YUGOSLAVIA WAKT ULE ALIKUWA NA NGUVU ZA KIJESHI MARA 20 KULIKO NGUVU ZA KIJESHI ZA IRAQ. YA SADDAM HUSSEIN,LAKIN ALITWANGWA UKU MRUSI AKIANGALIA TU,KUMBUKA KWA ASILI YUGOSLAIA NA AKINA URUSI WANAO UHUSIANO WA KARIBU ZAIDI WA KIASILI.

Leo hii mtu baki NK ndo awe na uhusiano wa kusaidiwa kivita na mrusi? Ajabu..

Wakt mkidhani nk anao uwezo huo ktk nyukilia je mnazo data za uhakika kt ya AMERICA vs NORTH KOREA? Nuclear weapoan (Warheads) USA 7800 vs NK 6-10 (active).

Shusheni angalau data si blabla hapa!!!!!
Yani humu mkuu majitu yanaongea tu bila weledi wowote ktk haya mambo.

Hayajui NOKO akirusha kikombora chake kimoja ata km cha nuclear, Marekani itarusha Mara Mia zaidi. Sasa Nani atapondwa kwa muktadha huo?
 
Nakumbuka haya majamaa yalikuja kumbamiza Osama tukiwa tumeshamsahau kabisa kama wanamtafuta..

Ogopa sana mtu unamtishia yeye katulia hakuoneshi hata kisu, wewe unamuonesha silaha zako zote yeye anakwambia acha ugomvi tu..

Haya majitu hayakurupuki, hayabadiliki!
Nadhani hata huyo kiduku wanampimia taratibu huku wakimpumbaza na maneno yeye anakomaa na vitendo.
 
hio vita ikipigwa ndo itakuwa vita ya 3 ya dunia na ikimalizika dunia itayumba kiuchumi na hapo ndo lengo la kuwa na dini moja, chama kimoja, siku moja ya kuabudu na utawala mmoja utatangazwa na hapo ndo shetani ataanza kutawala
Ndugu umenena maana kiduku hayuko pekee yako anakundi nyuma linampa kichwa mpaka anajiamini hivyo..
 
Ukitaka ayadungue hayo makombora mwambie NOKO ayarushe kuilenga Japan au SOKO. Sio ayapitishe tu. Ayarushe yakatue Japan aone cha moto.
Mmeambiwa mtupe hata jiwe tu kwenye ardhi ya Nk mpaka leo ziiiiii,mmekua kama wanawake kwa manenomaneno,toka 1985 hao mabwana zenu wanajitekenya kwa Nk.
 
Mmeambiwa mtupe hata jiwe tu kwenye ardhi ya Nk mpaka leo ziiiiii,mmekua kama wanawake kwa manenomaneno,toka 1985 hao mabwana zenu wanajitekenya kwa Nk.
Mara ngapi midege ya US inaruka ktk anga la noko na noko anaangalia tu
 
Naona unaropoka tu. Hebu jaribu kuushughulisha ubongo wako kidogo na kuongea fact.

US hajawahi kuparazwa Somalia kwasbbu jeshi la US lililokwenda Somalia lilikwenda km jeshi la kulinda amani. Ambalo likaanza kulengwa hovo na makundi ya watu wenye itikadi kali. So usitudanganye bhana.

US hajawahi kuparazwa Iraq ktk Vita zote mbili. Miaka ya 90 na 2003 zote Saddam aliparazwa.


Mwaka 90 US aliipiga Iraq ambayo ilikua imeivamia Kuwait na kuikaria kijeshi. Majeshi ya Saddam yalifurushwa kutoka Kuwait yakakimbia hovyo mpk Bagdad. Na wakaendelea kuchapwa mpk wakaacha kuvaa kombati za jeshi.

Mwaka 2003 ilikua ni oparesheni ya kumpindua Saddam. Mpk sasa Saddam ni marehemu. Sasa ni wapi US aliparazwa?

Usitudanganye hapa na story zenu za vijiweni
Kweli kabisa humu ndani kuwa watu wanakurupuka tu kuongea ila hicho ulichoelezea ndio ukweli.
Stori za vijiweni visiletwe hunu kwan kuna wajuzi wa mambo wengi tu. Hawajui hata kwani wamerekani waliyatoa majeshi ya sadam kule kuwait ,kisha hawajui hata kilichokuja kumpindua sadam wao ni kuropoka,hooo mara majeshi ya marekani yalishindwa somalia,huwa najiuliza hivi tuna upeo wa ufaham kweli au stori za vijiweni ndo zinatuzidi kuliko uelewa wa mambo yanayoendelea duniani?

Kuna mwingine nae akaropoka mbona walikimbia vietnam. Why,why tunao upeo kweli.

Je, wanajua majanga waliyopata wavietnam mpk leo wamebaki na makovu yasielezeka baada ya vita vile mpk juzi huyo mmarekani akaamua kuwasaidia hao wavietnam? Wavietnam waliuawa sana na ni hasara kubwa sana kwao mpk leo
 
Back
Top Bottom