mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,741
- 8,397
Kwani ikibaki huko chini itaoza. !!Aziz 😂
Jamaa ameandika makala ndefu kweli kweli ! 🙏
Mambo ya fweza za chapchap ndivyo yalivyo !
Tulishakubali mpaka asilimia 3 kwenye dhahabu ili fedha ya chapchap ipatikane na ikapatikana kweli !
Lakini peace of mind still haipatikani na haitopatikana kamwe !!
KARMA is a bitch ! 🙏🙏🙏