March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

watu msiwe mnaleta habari hapa kabla ya kuzisoma vizuri.
waliouawa sio kwenye tukio la uchaguzi.. it is a different storry..
Pale Mombasa kuna kikundi kinasadikiwa ni cha kiislam.. chenye kuwa karibu na vuguvugu la Muslim Brotherhood ambao wanataka kujitenga na Kenya.. wanataka Mombas iwe nchi..
Basi hao ndo inasadikiwa wamevamia kituo cha polisi asubuhi nakufytaua marisasi ya kutosha...


Mungu awapitishe kwa amani wananchi wa Kenya ili yasijirudie ya uchaguzi uliopita kwa kua baada ya kila kitu kwisha Kenya itabaki kua Moja....Mungu akupeni kiongozi mwema na mwenye Hekima,na akuondoleeni ghadhabu na roho ya hasira!
 
BBC BreakingNews: 5 people killed in coastal Kenyan town as voting begins in election, taking death toll so far to at least 9, police say

Hawa jamaa vp, hawajajifunza tu! manake walichinjana wee halafu baada ya mapatano hakuna tofauti iliyotekea, wale wenye kula waliendelea kula nchi, waliopigana mpaka leo (wengi wao) hawajapata ardhi yao wala nyumba walizoahidiwa hawajapata
 
Jayk kosa langu nini sasa,nimesoma heading,nimeingia kwenye habari husika na nilichopost ni mawazo huru...umequote post yangu na kulaumu(sa sijajua umenilaumu mimi km mchangiaji ama umemlenga mleta hoja)
 
Msichoke kusubiri kwenye foleni ndugu zetu; kaa chini, simama do anything lakini usiondoke! whatever happen dont quit, dont go back home mpaka u cast kura kwenye ballot.
 
Even though kenyan, you haven't said anything about what is really drawing attention the kenyans to the extend that most of you have massively responded on voting! Can you just summarize the driving force for each highly topped presidential candidency?
 
Mungu awatangulie watani zetu wajadi. unajua amani kenya ni muhimu sana kwenye east African

union.Hospitali nzuri tunazipata Nairobi, Spea za electronic na za magari zilizoshindikana TZ Tunazipata

Kenya.Mungu ibariki kenya Mungu ibariki East Africa na watu wake sisi sote ni ndugu
Mungu wabariki pia watanzania ili nao wajue kubadili serikali yao hata kwa miaka mitano mitano.
 
Watu wasiopungua 17 wakiwemo polisi watano wameuwawa kwa kukatwa na Mapanga katika wilaya ya Kilifi, nchini Kenya saa chache kabla ya zoezi la kupiga kura kuanza nchini humo hii leo!

Souce: DW!
 
Hii update ya Martha Karua on biometric kits inatia mashaka naona ni kule katika ku-divert kura kwa UK where other Kikuyu presidential aspirants are strong!
 
some of you Tanzanians here badmputhing Kenyan elections are worse than the dumbest international media here.ati violence ndio mnangoja.if you ain't on the ground voting or inspecting elections I suggest you shut the ---- up.Kenyans want peace this time.
 
Back
Top Bottom