Nahiyo siku ni october 31 mpendwa, chukua maneno yangu.Yes, CHADEMA iko simati ila inatubidi kuwa makini sana na hawa wanamtandao, ni ndugu zetu, baba zetu, marafiki wetu n.k lakini ni wabaya kuliko ukoma! Tunakazi kubwa ya kuwadhibiti lakini hata kama itakuwa vingivevyo kwa kuwa wanatumia nguvu kubwa sana kututawala mwisho u karibu! Hawa jamaa ni mafia sana tunahitaji nguvu ya ziada maana wakolafu mno. Tuwe makini nao wanaweza kutuongoza lakini si kwa ridhaa yetu! Marando pigilia misumari ya nchi nane huko wasiweze kuiongoa! Mpaka sasa nawashukuru hawa wanamageuzi kwa kazi nzuri tuliyoifikia mpaka sasa, ujumbe wanao na hawapati usingizi. Big up wanamageuzi kote Tanzania!Tusife moyo kuna siku Mungu atasikia kilio chetu!
hahahaaaaaaaaaaaaaaa ndugu nibakishie mbavu zangu kidogo manake waniua kwa kicheko.chadema inashinda,wanajifanya wanaiba kura mwaka huu tumewashiika,hawana hamu.mawakala wengi hapa dar ni wakurya wa ukonga na wale jamaa hawana utani na mtu.
Eeh Mungu,
Hakuna linaloshindikana kwako,tunaomba uwasaidie watanzania wote hata wale ambao Rais mtarajiwa Dr W.P.Slaa hajawafikia physically wampigie kura zao hapo Oktoba,31.
Nguvu iliyotumika kumuangusha GOLIATI mbele ya Daudi ndiyo hiyo itumike kuliangusha hili ligoliati liitwalo thithiemi!
Amina.
hahahaaaaaaaaaaaaaaa ndugu nibakishie mbavu zangu kidogo manake waniua kwa kicheko.