Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Marando atinga Maswa kumsaidia Shibuda, baadae Mara na Mwanza atakapowakampenia familia ya Nyerere, Vicent (Musoma Mjini) na Leticia (Magu) na baadae kwenda kuhitimisha kwa Waziri Kijana Nyamagana ambako kunatarajiwa kutokea Waziri Kijana mbadala (Wenje)