Marais kutoka Pwani/Pemba wanatuokoa kila mara demokrasia inapominywa, huipa Nchi unafuu wa demokrasia, uchumi na amani

Akilizako fupi sana,kwa mtu anaejua kufanya tathmini hakuna chakushukuru hapo.

Ufisadi, wizi, ukwepaji kodi na ujambazi wa kutisha wote umefanyika kipindi cha hao watu.

Wakati wa Magufuli hakukuwa na ujambazi na wizi wa kutisha?..wala ukwepaji Kodi?
 
Fuatilia ujue mmiliki halisi wa lake oil, gsm.....
Sasa lake oil na gsm ni Mali za serikali!?.. mshahara wa rais 45m,akienda kukopa atakopa kiasi gani ili afanye biashara!?..wezi ni wale waliouza migodi na mashirika ya umma kifisadi,na waliokwapua 1.5tr zetu
 
Sasa lake oil na gsm ni Mali za serikali!?.. mshahara wa rais 45m,akienda kukopa atakopa kiasi gani ili afanye biashara!?..wezi ni wale waliouza migodi na mashirika ya umma kifisadi,na waliokwapua 1.5tr zetu
Kufurahishwa tu ila ukweli utabaki palepale. Jiulize kwanini hakupata tuzo ya mo Ibrahim
 
Kweli Makamba hata kufa, pamoja na watu wote wa pwani.
Waliomuua JPM wata tamalaki milele, waliosuka njama za mauji kwa simu zao mchana kweupe na kurekodiwa ni wastaarabu milele.
Simu za watu wa pwani zilidakwa , Makamba na Genge lake wote wa pwani

Kama ni kweli hao ni mashujaa kuondoa lile jinamizi.
 
Tunazidi kujionea na wala hatusimuliwa, Tanzania ustaarabu ulianzia mikoa ya Pwani na Pemba, kusema kweli ni moja kati ya vitu vya kujivunia kwenye siasa.

Haimaanishi kwamba wao wakiwepo mabaya yanapotea, La hasha!! kuna madudu kama ufisadi huwa yanaendelea lakini kwa kuwa huwa kuna uhuru wa vyombo vya habari kutoa taarifa bila kukiona cha mtema kuni, hapa ndio huwa tunasikia sana mambo kama ya escrow, rada, madeni, mifumuko ya bei, n.k. hata ile jeuri ya kuwa chama tawala na kusema wewe huguswi hata ukionea wengine inapungua, Mfano pale Mbeya kipindi cha kikwete 2015 kuna vijana wa Green Guard ya ccm walimpiga mpita njia kisa kavaa fulana za chadema, Polisi walipiga msako waliwatia adabu wale vijana bila kujali chama utu kabla ya siasa.

Tukija kwenye siasa za demokrasia, Kwa Nyerere kulikuwa na mfumo wa chama kimoja ila ni Mwinyi alituletea mfumo wa vyama vingi. Kwa mkapa aliminya upinzani ila Kikwete aliweza kuleta mafuriko ya wapinzani bungeni na hata mijadala ya katiba mpya iliruhusiwa.

Nae raisi wa sasa Samia Suluhu Hassan anaendelea kuproove kwamba marais wa kanda hizo wana nafuu.

• Ubinadamu: Baada ya shambulio la Lissu, Rais Samia bila kificho aliamua kuweka siasa pembeni akaenda kukutana na Lissu na kumjulia hali dhidi ya unyama aliofanyiwa.

Kuondoa vifungo yombo vya habari : Amefungulia vyombo vya habari ikiwemo magazeti na kuweka mazingira rahisi ya vyombo vya habari, hapo utawala uliopita kufungua hata youtube tv ulianzishwa utaratibu kulipia leseni ya milioni 2.

Uhuru wa maoni - Hata huu mfumuko wa bei watu wanaweza kuzungumzia wazi bila kuhofia defenda zitakuja kuwasomba, Mfano mdogo tu wa kujua thamani ya uhuru huu vuta picha awamu iliyopita hapo hata kusema "vyuma vimekaza" ilikuwa marufuku.

• Kutokomeza siasa za visasi: Wapinzani wengi waliofungwa kwa kesi za kubambikiwa na kukomolewa wameachiwa huru.

•Lugha na vitendo vya staha: Hata kama mtu kakosea kuna namna ya kudili nae, kumdhalilisha kwa kumtukana ni mjinga / mpumbavu ama matumizi ya nguvu ikiwemo viboko si vema.

• Amani: Nchi imerejea katika amani, watu wasiojulikana waliokuwa wanateka watu na kuwaua na kuwatelekeza fukweni kwa sasa ni kama wamepotea.

• Uchumi:

(a) Mzunguko wa pesa ni muhimu zaidi kuliko bei za vitu, leo hii hata sukari iuzwe elfu 1 kama hakuna mzunguko wa pesa watu watarudi kukamulia miwa kwenye chai, pamoja na changamoto ya bei kupanda hatuwezi kusahau kwamba kwa sasa mzunguko wa pesa umeongezeka sana unaosaidia watu wawezeze kumudu gharama za maisha.

(b) baada ya raisi kukemea matumizi ya mabavu na vitisho kwenye biashara, kwa sasa makampuni na wawekezaji wengi waliofunga biashara zao wameanza kurudi, mzunguko wa pesa unazidi kuongezeka. ukisanyaji wa kodi ni taaluma waachiwe waliosomea taaluma na sio task force.

(c) Kwenye sekta ya ajira tumeanza kuona angalau ajira zimeanza kuwepo, waajiriwa wa serikalini wamepandishiwa mishahara, , waliosoma kwa mkopo wamepunguziwa makato kwenye mishahara,

• Kupungua kwa wakuu wa mikoa / wilaya wasio wastaarabu: Tuliwahi kuwa na viongozi waliokuwa na majigambo ya vyeo walivyonavyo kufikia kuanza kuchapa viboko wananchi, kutukana watu hadharani, dharau, kujiona miungu mtu, n.k. kwa sasa wamepungua.

Mikutano ya hadhara: Kaweza kuondoa vifungo vilivyowekwa dhidi ya vyama vya siasa vya upinzani kufanya mkutano
SKG someni hapa!
 
Tunazidi kujionea na wala hatusimuliwa, Tanzania ustaarabu ulianzia mikoa ya Pwani na Pemba, kusema kweli ni moja kati ya vitu vya kujivunia kwenye siasa.

Haimaanishi kwamba wao wakiwepo mabaya yanapotea, La hasha!! kuna madudu kama ufisadi huwa yanaendelea lakini kwa kuwa huwa kuna uhuru wa vyombo vya habari kutoa taarifa bila kukiona cha mtema kuni, hapa ndio huwa tunasikia sana mambo kama ya escrow, rada, madeni, mifumuko ya bei, n.k. hata ile jeuri ya kuwa chama tawala na kusema wewe huguswi hata ukionea wengine inapungua, Mfano pale Mbeya kipindi cha kikwete 2015 kuna vijana wa Green Guard ya ccm walimpiga mpita njia kisa kavaa fulana za chadema, Polisi walipiga msako waliwatia adabu wale vijana bila kujali chama utu kabla ya siasa.

Tukija kwenye siasa za demokrasia, Kwa Nyerere kulikuwa na mfumo wa chama kimoja ila ni Mwinyi alituletea mfumo wa vyama vingi. Kwa mkapa aliminya upinzani ila Kikwete aliweza kuleta mafuriko ya wapinzani bungeni na hata mijadala ya katiba mpya iliruhusiwa.

Nae raisi wa sasa Samia Suluhu Hassan anaendelea kuproove kwamba marais wa kanda hizo wana nafuu.

• Ubinadamu: Baada ya shambulio la Lissu, Rais Samia bila kificho aliamua kuweka siasa pembeni akaenda kukutana na Lissu na kumjulia hali dhidi ya unyama aliofanyiwa.

Kuondoa vifungo yombo vya habari : Amefungulia vyombo vya habari ikiwemo magazeti na kuweka mazingira rahisi ya vyombo vya habari, hapo utawala uliopita kufungua hata youtube tv ulianzishwa utaratibu kulipia leseni ya milioni 2.

Uhuru wa maoni - Hata huu mfumuko wa bei watu wanaweza kuzungumzia wazi bila kuhofia defenda zitakuja kuwasomba, Mfano mdogo tu wa kujua thamani ya uhuru huu vuta picha awamu iliyopita hapo hata kusema "vyuma vimekaza" ilikuwa marufuku.

• Kutokomeza siasa za visasi: Wapinzani wengi waliofungwa kwa kesi za kubambikiwa na kukomolewa wameachiwa huru.

•Lugha na vitendo vya staha: Hata kama mtu kakosea kuna namna ya kudili nae, kumdhalilisha kwa kumtukana ni mjinga / mpumbavu ama matumizi ya nguvu ikiwemo viboko si vema.

• Amani: Nchi imerejea katika amani, watu wasiojulikana waliokuwa wanateka watu na kuwaua na kuwatelekeza fukweni kwa sasa ni kama wamepotea.

• Uchumi:

(a) Mzunguko wa pesa ni muhimu zaidi kuliko bei za vitu, leo hii hata sukari iuzwe elfu 1 kama hakuna mzunguko wa pesa watu watarudi kukamulia miwa kwenye chai, pamoja na changamoto ya bei kupanda hatuwezi kusahau kwamba kwa sasa mzunguko wa pesa umeongezeka sana unaosaidia watu wawezeze kumudu gharama za maisha.

(b) baada ya raisi kukemea matumizi ya mabavu na vitisho kwenye biashara, kwa sasa makampuni na wawekezaji wengi waliofunga biashara zao wameanza kurudi, mzunguko wa pesa unazidi kuongezeka. ukisanyaji wa kodi ni taaluma waachiwe waliosomea taaluma na sio task force.

(c) Kwenye sekta ya ajira tumeanza kuona angalau ajira zimeanza kuwepo, waajiriwa wa serikalini wamepandishiwa mishahara, , waliosoma kwa mkopo wamepunguziwa makato kwenye mishahara,

• Kupungua kwa wakuu wa mikoa / wilaya wasio wastaarabu: Tuliwahi kuwa na viongozi waliokuwa na majigambo ya vyeo walivyonavyo kufikia kuanza kuchapa viboko wananchi, kutukana watu hadharani, dharau, kujiona miungu mtu, n.k. kwa sasa wamepungua.

Mikutano ya hadhara: Kaweza kuondoa vifungo vilivyowekwa dhidi ya vyama vya siasa vya upinzani kufanya mkutano
Mi sitokei kanda ya pwani lakin nakubaliana na wewe.
Nilichojifunza ni kwamba mtu hata asime na kuelimika vipi kuna asili inabaki.
Watu wa ukanda wa magharibi wana asili ya ubabe na utawala badala ya uongozi.
UTawala na ukatili haviachani mbali.
Hata babu yetu Nyerere alihofia sana siasa za kupingwa akajiengua mapema.
Mbaya zaid tukaingia mikonon mwa mtu ambaye asili yake ya ufalme wa Ntare akatupiwa nchi ya kidemokrasia. Tungeisha!!
Hata dini inasaidia.
Mtu anayefundishwa ..kudai haki, hata kufa, ni ibada hawez kuwa kama wa ....akupigaye kushoto ..... kuna mmoja ni kondoo wa kafara ndo hao tunaitwa keyboard warriors leo.
Quran hainyumbulishwi ila Biblia iko flexible kufit mahitaj ya wahusika. Wema na waovu.
Ndo maana kupitia Biblia kuna wa ndoa ya jinsia moja na kuna wa haiwezekani!
Urais ni taasisi lakin rais anaweza kuzalisha mfumo ndan ya Taasisi.
Ndo maana tunataman uwepo wa taasisi imara. Katiba imara!
Kuna makabila hadi leo ukiishi nao unagundua ni risk sana kumpa nafas ya maamuzi makubwa ya kitaifa bila gavana imara. Tusijisahaulishe kuhusu matukio katika jamii zetu yanayoakisi viongoz wetu kama sehem yetu!
Hata hivyo, kanda ya pwani i aongoza kutuzalishia jamii wavivu, wazembe, wasiojari,, mashoga, uharibifu wa watoto, ndoa lege lege na uzalendo dhaifu
 
Nyerer alishamchapa Spika samwel sita Viboko akiwa chuoni,

Mkapa katika hotuba alishasema watanzania ni wajinga, Magufuli havihesabiki
Shida ya mswahili hataki kuambiwa ukweli..hili ni tatizo kubwaa sana kwenye jamii ya watu weusi haswaa waswahil..wao wanataka kupambwa tu na maneno mazuri..ukweli ni kwamba watz ni wapumbavu na wajinga wasiojielewa..refer kenyata alivyowatukana...nyerere aliambiwa ww unaongoza maiti...huo ndo ukwel wenyewe sasa kama hujui..
 
K
urahishwa tu ila ukweli utabaki palepale. Jiulize kwanini hakupata tuzo ya mo Ibrahimila
Kila rais lazima apate hiyo tuzo!?..
 
Asili huwa haijifichi mkuu, ni vipi unatamka mbele ya hadhara kauli kama zile kwamba "wazuri huwa hawafi" tena mbele ya wajane?

Kiufupi nimeshafanya research Yangu nimefikia muafaka kwamba Pwani na Pemba ndiko ulipozaliwa ustaarabu na kuufanya uwe sehemu ya maisha yao, yawezekana tunatofautiana kiwango cha ustaarabu lakini Pwani na Pemba ni vinara wa ustaarabu.

Kinachotufaa zaidi ni kuwa na viongozi wenye ustaarabu bila hata kujali elimu zao na dini zao,
Kwani uongo? Ni kweli wazuri hawafi, we hauoni marais wastaafu waliyokufa ni wakristo tu?
 
Kwakifupi Mimi ni mkristo Mkatoliki. Watawala wakiislamu kiukweli ni watu wa haki sana. Mungu awabariki sana. Ni watawala wa haki tofauti na sisi wakristo ni madikteta.
 
Kwakifupi Mimi ni mkristo Mkatoliki. Watawala wakiislamu kiukweli ni watu wa haki sana. Mungu awabariki sana. Ni watawala wa haki tofauti na sisi wakristo ni madikteta.
Mi nafikiri sample iliyochukuliwa ni ndogo, labda ingekuwa ni marais 10 au 20 ndio tungeweza kufanya hitimisho
 
Kwakifupi Mimi ni mkristo Mkatoliki. Watawala wakiislamu kiukweli ni watu wa haki sana. Mungu awabariki sana. Ni watawala wa haki tofauti na sisi wakristo ni madikteta.
Kuna wale ambao dini ni imani, kuna wale ambao dini ni utambulisho. Kabla hujajadiliana na mtu kuhusu dini, tambua kwanza dini kwake ni nini. Kinyume na hapo, mjadala huo una hatari ya kuishia vibaya.
 
N:B: >> Pwani inayozungumiwa ni mkoa, sio ukanda wa pwani unaojumuisha mikoa ya ziada ya Tanga, Lindi na mtwara.

Kigezo kikuu kwa marais hawa huwa ni utamaduni wao wa ustaarabu, ni utamaduni ambao kwa mikoa ya Pwani na Pemba ni sehemu ya maisha yao kabisa kwa muda mrefu, elimu, dini na teknolojia ni vitu vilivyokuja kuimarisha ustaarabu ambao ulishakuwa ni sehemu ya maisha yao, kuna maeneo vitu hivyo hivyo vimefika mda mrefu lakini bado suala la ustaarabu pana shida.

Haimaanishi kwamba wao wakiwepo mabaya yanapotea, La hasha!! kuna madudu kama ufisadi huwa yanaendelea lakini kwa kuwa huwa kuna uhuru wa vyombo vya habari kutoa taarifa bila kukiona cha mtema kuni, hapa ndio huwa tunasikia sana mambo kama ya escrow, rada, madeni, mifumuko ya bei, n.k. hata ile jeuri ya kuwa chama tawala na kusema wewe huguswi hata ukionea wengine inapungua, Mfano pale Mbeya kipindi cha kikwete 2015 kuna vijana wa Green Guard ya ccm walimpiga mpita njia kisa kavaa fulana za chadema, Polisi walipiga msako waliwatia adabu wale vijana bila kujali chama utu kabla ya siasa.

Tukija kwenye siasa za demokrasia, Kwa Nyerere kulikuwa na mfumo wa chama kimoja ila ni Mwinyi alituletea mfumo wa vyama vingi. Kwa mkapa aliminya upinzani ila Kikwete aliweza kuleta mafuriko ya wapinzani bungeni na hata mijadala ya katiba mpya iliruhusiwa.

Nae raisi wa sasa Samia Suluhu Hassan anaendelea kuproove kwamba marais wa kanda hizo wana nafuu.

• Ubinadamu: Baada ya shambulio la Lissu, Rais Samia bila kificho aliamua kuweka siasa pembeni akaenda kukutana na Lissu na kumjulia hali dhidi ya unyama aliofanyiwa.

Kuondoa vifungo yombo vya habari : Amefungulia vyombo vya habari ikiwemo magazeti na kuweka mazingira rahisi ya vyombo vya habari, hapo utawala uliopita kufungua hata youtube tv ulianzishwa utaratibu kulipia leseni ya milioni 2.

Uhuru wa maoni - Hata huu mfumuko wa bei watu wanaweza kuzungumzia wazi bila kuhofia defenda zitakuja kuwasomba, Mfano mdogo tu wa kujua thamani ya uhuru huu vuta picha awamu iliyopita hapo hata kusema "vyuma vimekaza" ilikuwa marufuku.

• Kutokomeza siasa za visasi: Wapinzani wengi waliofungwa kwa kesi za kubambikiwa na kukomolewa wameachiwa huru.

•Lugha na vitendo vya staha: Hata kama mtu kakosea kuna namna ya kudili nae, kumdhalilisha kwa kumtukana ni mjinga / mpumbavu ama matumizi ya nguvu ikiwemo viboko si vema.

• Amani: Nchi imerejea katika amani, watu wasiojulikana waliokuwa wanateka watu na kuwaua na kuwatelekeza fukweni kwa sasa ni kama wamepotea.

• Uchumi:

(a) Mzunguko wa pesa ni muhimu zaidi kuliko bei za vitu, leo hii hata sukari iuzwe elfu 1 kama hakuna mzunguko wa pesa watu watarudi kukamulia miwa kwenye chai, pamoja na changamoto ya bei kupanda hatuwezi kusahau kwamba kwa sasa mzunguko wa pesa umeongezeka sana unaosaidia watu wawezeze kumudu gharama za maisha.

(b) baada ya raisi kukemea matumizi ya mabavu na vitisho kwenye biashara, kwa sasa makampuni na wawekezaji wengi waliofunga biashara zao wameanza kurudi, mzunguko wa pesa unazidi kuongezeka. ukisanyaji wa kodi upo chini ya watu waliosomea taaluma, mambo ya task force yameyeyuka.

(c) Kwenye sekta ya ajira tumeanza kuona angalau ajira zimeanza kuwepo, waajiriwa wa serikalini wamepandishiwa mishahara, , waliosoma kwa mkopo wamepunguziwa makato kwenye mishahara,

• Kupungua kwa wakuu wa mikoa / wilaya wasio wastaarabu: Tuliwahi kuwa na viongozi waliokuwa na majigambo ya vyeo walivyonavyo kufikia kuanza kuchapa viboko wananchi, kutukana watu hadharani, dharau, kujiona miungu mtu, n.k. kwa sasa wamepungua.

Mikutano ya hadhara: Kaweza kuondoa vifungo vilivyowekwa dhidi ya vyama vya siasa vya upinzani kufanya mkutano
Samia huyo huyo si ndo alimnanga lissu kwenye kampeni na magu kwamba usalama wao hawezi kukosa risasi kwa target.
 
Back
Top Bottom