ISSA SHARAFI
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 407
- 75
Naomba msaada wenu wa mawazo wanajf, niko ktk mahusiano na msichana mmoja kwa muda mrefu sana na niko na mipango naye yaani nahitaji kumuoa lkn kuna rafiki yangu mmoja ambaye anamsumbua sana huyo mpenzi wangu kwa kumtaka kimapenzi hata kama amemwambia kuwa yeye ni mchumba wa mtu yaani mimi ila jamaa anamlazimisha eti awe spea tairi. Je nifanye nini mwenzenu?