Hebu na tujadiri hili.mtu unatafuta mpenzi kupitia gazeti au mtandao.bahati nzuri anaandikiwa na watu tuseme 20.wote anaamua kuwatafuta.je hata kama atapata mmoja wa kumfaa, mnadhani ataacha kuwasiliana na hao wengine ambao aliamua kuwasiliana nao na hivyo kupeleekea kuwa na mahusiano nao kimapenzi?.