Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,729
- 20,480
Sio kupiga kura tu, ukumbuke pia kuna kusimamia upigaji kura za wengineMtaani na maeneo ya kazi yapo malalamiko kwa watumishi wa umma kuwa stahiki zao za madaraja, vyeo na madai yao, hawajalipwa mwaka wa 2 sasa. Je kura yako utawapa tena kwa wema huo????