Mapya yaibuka: Maafisa wa TMAA walipewa hela ili Smelter isijengewe Tanzania

Hiyo kweli ni kwa akili yako, unaanzaje kwanza kupata gold kwa kutumia gold detector?. Hii field ina wenyewe.


kiongozi soma tena habari.
Umeambiwa TMAA wametusaliti wamekula helaaaa.
Haushangai mzungu aingie gharama ya kusafirisha mikontena miaka yote alaf aseme apate hasara.si angejenga huo mtambo hapa.au huo mtambo mkubwa kiasi gani mpaka ushindwe kujengwa hapa?
Kwa akili yangu ndogo dhahabu kwenye mchanga.unaweza kuipata hata kwa kutumia gold detector.
 
asante sana umeongea point sana...acacia na kampuni nyingine hawawezi kujenga hizo smelters hiyo ni kazi ya serikali kuhakikisha wanatafuta wawekezaji au serikali ijenge hizo smelters and run it..na makampuni yote lazima wazitumie as long as kuna mikataba na sheria za kuzuia mchanga kwenda nje
kuna sehemu nilisoma walisema hili hizi smelters ziendeshwe kwa faida wanahitaji tani la 150000 lakini tunazalisha tani 40000...so akili kumkichwa JPM
Na kibaya zaidi ni kuwa ni migodi miwili tuu ndo inazalisha huo mchanga na ambayo uhai wake upo ukingoni.

Ukienda Google ukatafuta construction cost ya hizo smelter utakimbia bado hujaweka operating cost na hapo kumbuka unapata mrabaha wa 4%.

Hii kitu tulisha kosea saivi ts too late tunapiga kelele tuuu bure.
 
HAWA TMAA WASHTAKIWE KWA KULITIA TAIFA HASARA KUBWA SANA
Kwa ushahidi gani? Je, juu ya TMAA kulikuwa hakuna aliyekuwa na power zaidi Yao ya kutoa maamuzi? Je, TMAA ndio walipitisha zile sheria za madini kwa speed pale bungeni? Kwa hili kuna watu wanapiga ngoma na kucheza wenyewe.
 
Wana JF kuna mambo mapya yanayozidi kujitokeza tangu rais Magufuli awasimamishe maafisa wakuu wa Taasisi ya TMAA inayosimamia MADINI ambayo pia ilimfanya rais Magufuli kumvua Uwaziri Mh.Muhongo kama Waziri wa Madini kwa sababu zilizo wazi.

Inavyosemekana ni kuwa mwaka wa 2009 TUME maalumu iliyojulikana kama PRESIDENTIAL MINING REVIEW COMMISSION,iliyoongozwa na JAJI Mark Bomani. Tume hii ilitoa MAPENDEKEZO kuwa SMELTER ijengwe hapa nchini.

Lakini cha kushangaza ni kuwa maafisa hao wa TMAA wakawa tayari wamekuwa COMPROMISED na Makampuni husika yaani WAKAHONGWA ili WANAYAMAZISHE matakwa ya Tanzania Kuwa na UWEZO wake na TEKNLOJIA HIYO.

Katika mbinu zao za kuzima ripoti na mapendekezo ya tume TMAA, miaka sita iliyopita hivi wakaanza mipango ya KUYAMWAGIA MAJI mapendekezo YOTE ya Tume ya Jaji Mark Bomani ili KUIDHOOFISHA kabisa
Na mwishowe KUZIZIMA kabisa NDOTO za Watanzania kuwa na mitambo yao ya SMELTER.
Na hivyo KUTUSALITI sawasawa ili tuendelee KUIBIWA VIZURI na hayo Makampuni.

Mwaka wa 2011 MAAFISA wa TMAA walitembelea miji ya TOKYO na SAGANOSEKI Copper concentrate Smelter nchini JAPAN ili WAJIONEE wenyewe TEKNOLOJIA hiyo na jinsi nchi yetu inavyoweza KUJIJENGEA Smelter yake yenyewe.

Katika safari yao ilikuwa pia wajue GHARAMA za UWEKEZAJI/UJENZI na uwezo na gharama za uendeshaji nchini.

Ikikikumbuka kuwa tume ya Jaji Mark Bomani ilikuwa pia imeenda huko kabla wakati ikiandika na kuchukuwa DATA, ili kutayarisha ripoti mpya ya sheria ya MINIMG LAW/Sheria mpya za MADINI.

Mwaka 2011 TMAA nao wakatoa ripoti yao iliyojulikana kama:
"A STUDY on VIABILITY to CONSTRUCTING a COPPER Concentrate SMELTER in Tanzania"

Ripoti yao ILIPINGA VIKALI mapendekezo ya Tume ya Jaji Bomani.
Na hivyo Kuwaachia wezi field day ya kuiba mchanga wetu WATAKAVYO na WAPENDAVYO. Maana tayari TMAA walikuwa wamekuwa compromised/WAMEHONGWA.

Kwa wale wanaolaumu uamuzi wa Rais Magufuli na kupendelea Makampuni wanaposikia haya si WAONE HUZUNI kuwa hakika TULIIBIWA Vya KUTOSHA na IMETOSHA?
Na Tanzania INAWEZA kabisa KUJIJENGEA yenyewe hiyo MITAMBO.

Maana NIA TUNAYO na UWEZO TUNAO tukishikana pamoja na kushirikiana kama Watanzania
HAKUNA lolote ambalo Tanzania HAITALIWEZA KULIFANYA.

Kwa Maafisa kama hawa wa TMAA WALIOTUSALITI wanastahili kuwa JELA bila HURUMA.

Hatuwezi kuwa taifa la OMBAOMBA wakati kila RASLIMALI tunayo.
Na hali watu wachache wenye tamaa wanataka tubaki Maskini huku wao wakijenga magorofa
TUNAKATAA kama Watanzania.
Mungu IBARIKI Tanzania na Rais Magufuli.
Chanzo: The EastAfrican.
TMAA WANAPASWA KUSHTAKIWA NA KUHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA JELA: CHINA HUWA WANANYONGA WATU KAMA HAO
 
Posted Saturday, November 22 2008 at 10:15

Dar rules out copper smelter

Tanzania has ruled out the construction of a copper smelter the Bulyankulu Gold Mine citing high costs.

According to the findings of the Tanzania Gold Audit Programme, the smelter — to smelt and refine copper concentrate produced from the Bulyankulu Gold Mine — would cost a whopping $500 million-$800 million to construct; would need between 60 per cent 90 per cent of copper concentrate imports (not less than 150,000 tonnes) to feed the smelter and the country would have to develop new mines to sustain its operations.

Besides, the smelter would also need a sulphuric acid plant for purification of fugitive gases.

The smelter at Zambia Mopani Copper Mines, built in 2006, cost $850 million.

the audit also found that construction of a smelter was not viable due to unavailability of copper sulphide deposits in the country, which would add to the copper concentrate requirements to feed the smelter.

“If a copper smelter was to be built and ended up relying on imported copper concentrate to meet minimum annual operations requirements, it would be hard for its products to compete in the world market on pric,” says the audit report.

Paul Masanja, head of unit of the Gold Audit Programme of the Ministry of Energy and Minerals told The EastAfrican that the country cannot afford the kind of investment needed.

Mr Masanja said that cost and availability of reliable electricity supply was also a key deterrent considering that electricity was expensive and the existing capacity does not meet the requirements to run a large copper smelter.

“Most planned new copper concentrate smelters in the world are in non-free market economies and are heavily supported by local governments directly through tariffs,” he said.

The audit, which was conducted last year, said the government needs to thoroughly study the transactions of copper concentrate exported by the mine to China and Japan to ensure the state reaps maximum benefits from exported minerals.

Mr Masanja said the government mandated the Gold Audit Programme to conduct the study in order to determining the viability of a copper smelter in Tanzania to serve the Bulyanhulu Gold Mine and other mines in the future.

The Bulyanhulu Gold Mine is owned by Barrick Gold Corporation and produces and exports between 25,000 and 50,000 tonnes of copper concentrate annually for smelting and refining to recover gold, silver and copper.

The Gold Audit Programme said that most of the copper concentrate producers in the world, running similar operations to those of the Bulyanhulu Gold Mines, do not have their own smelters, but export their concentrates to Marc Rich Investment in China or Sumitomo Metal Mining Co Ltd in Japan for smelting and refining.

The audit was conducted to put to rest arguments that Tanzania was losing by exporting raw minerals to China and Japan for processing instead of adding value at home.

According to the study, the copper concentrate exported to China is made up of copper, 14 per cent; gold, 0.02 per cent; and silver, 0.015 per cent.

The Ministry of Energy and Minerals said that there are about 400 copper mines, 150 copper smelters and 170 copper refineries worldwide.

Most copper concentrate producers export their products to China or Japan for treatment and refining.

The main copper concentrate producers are Chile, Canada, Australia and Argentina. Chile supplies more than 29 per cent of China’s copper concentrate imports.

The Bulyanhulu Gold Mines has a long term smelting contract with Pan Pacific Copper Co. Ltd, an affiliate of Nippon Mining and Metals Co. Ltd, and with Sumitomo Metal Mining Co. Ltd, which will smelt about 30-70 per cent of the mine’s concentrate this year.
Source: Dar rules out copper smelter
 
Kwa ushahidi gani? Je, juu ya TMAA kulikuwa hakuna aliyekuwa na power zaidi Yao ya kutoa maamuzi? Je, TMAA ndio walipitisha zile sheria za madini kwa speed pale bungeni? Kwa hili kuna watu wanapiga ngoma na kucheza wenyewe.
WEWE TETEA KIBARUA CHAKO TU ILA TMAA WOTE TUNALALA NAO MBELE - WATAISOMA NAMBA HUKO KEKO VERY SOON. Wewe Subiri Tu. Mtu Amefanya Kazi 3 years halafu ana magorofa Dar na Arusha. Mtatueleza Mali Mnazomiliki Mlizipataje Kama Sio Rushwa na Kutumiwa na Wawekezaji Kupiga Mihuri kwenye shehena za dhahabu kwenda Nje. HAKUNA ATAKAYESALIMIKA
 
Maulana Mola wetu ibariki nchi yetu na rais wetu ..,tulinde...eh Mola wetu!
 
Tutaweza kujenga smelter ambayo wenye hela wanasema sio economical! hela tunayo? au ndo tunaenda kuwaomba msaada ili tuijenge? kwa nini hatukuchimba hayo madini wenyewe in the first place? tulikuwa tunamlaumu Mkapa kwa kugawa bure madini tuliitwa wenye wivu wa kike. sasa serikali ijenge smelter kwa concentrate za nani? umegawa halafu bado unaita chako! ngoja sasa tuiunde Zimbabwe yetu kwa kuikumbatia CCM miaka za ya 50. Mangufuli analeta siasa zitakazo tugharimu, alikuwa kwenye bunge na Baraza la mawaziri miaka yote mkataba mibovu inasainiwa hakunyanyua mdomo.
Will fool the fools only

Anafikiria Watanzania Ni wapumbavu kama UVCCM wa Lumumba.Akiongea wanapiga makofi tu.

Halafu hawajui hata huyo JPM naye ni mpigaji tu kama Mkapa.Na bado watakuja kujua nini maana ya Upinzani.
 
WEWE TETEA KIBARUA CHAKO TU ILA TMAA WOTE TUNALALA NAO MBELE - WATAISOMA NAMBA HUKO KEKO VERY SOON. Wewe Subiri Tu. Mtu Amefanya Kazi 3 years halafu ana magorofa Dar na Arusha. Mtatueleza Mali Mnazomiliki Mlizipataje Kama Sio Rushwa na Kutumiwa na Wawekezaji Kupiga Mihuri kwenye shehena za dhahabu kwenda Nje. HAKUNA ATAKAYESALIMIKA
Na iwe hivyo kama unavyo nena...enough is enough!
 
Hawa wanatakiwa wapelekwe uwanja wa uhuru wananchi wenye uchungu na nchi hii twende na kachumbari zetu tuwabanike ktk moto kasha kila mtu akate kipande chake ashushie na kachumbari. mijizi mikubwa ndio dawa yao na fundisho kwa wengine. ila mie bandama na kongosho zao naomba nizile mie.
 
Back
Top Bottom