ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,114
Maneno mengi utekelezaji sifuri!!!
Kama hao TMAA na ACACIA ni waongo si serikali ijenge basi hizo smelters!!! Serikali ikijenga, tunawatoza gharama ndogo hao ACACIA wanaosema not economical kwa wao kujenga smelters.
Nadhani gharama zetu zitakuwa very affordable kwa sababu tunaamini ujenzi wa hizo smelters not expensive kama akina TMAA wanavyosema!!
Ile ripoti ya TMAA mie nimeisoma mara nyingi sana!! Wengi wenu humu mnaangalia wanasiasa wamesema nini!!!
Mosi, TMAA hawakusema smelters zisijengwe bali bali walisema not commercially viable. Hata hivyo, wakapendekeza nini cha kufanyika to make the whole thing viable.
Moja ya mambo waliyokuwa wameyataja ni kiasi cha mchanga kinachozalishwa na nishati ya ku-run hiyo mitambo!!!!
Kwa upande wa Barrick, wao walisema "not economical TO US" kujenga smelters!!
From economic point of view, mtu anaposema not economical haimaanishi kwamba kujenga ni hasara!
However, kwavile wamesema "not economical to us (acacia)" manake kuna better option kwao kuliko kujenga smelters. Hiyo ndiyo tafsiri ya not economical!
Lakini ambacho "not economical" kwa Barick/Acacia/investor kinaweza kuwa very economical kwa serikali. This so because, wakati ACACIA wanaangalia economic benefits serikali inatakiwa kuangalia socio-economic benefit!!
Mbona simple tu!!!!
Rais kama aliweza kununua ndege 3 kwa mpigo anaweza pia kuwapa pesa Stamico wajenge smelter na wenye migodi hata wa nchi jirani watautumia. Hapa kazi tu.