Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Tazama hii video,imerekodiwa leo na wadau ,mkuu wa mkoa ametoa taarifa rasmi kwamba bajeti ya manispaa ya bukoba ya mwaka 2014 haitakuwepo.kwamba kikao cha 'kuwabembeleza ' madiwani ili wapitishe bajeti kimeambulia patupu.Ameshindwa,kwamba anasubiri miujiza. Tazama mwenyewe.
Last edited by a moderator: