Mapungufu katika Wimbo wa Taifa la Tanzania

Nkosi Sikelel' iAfrika
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jump to: navigation, search

"Nkosi Sikelel' iAfrika" ("Lord Bless Africa" in Xhosa), was originally composed as a hymn in 1897 by Enoch Sontonga, a teacher at a Methodist mission school in Johannesburg, to the tune 'Aberystwyth' by Joseph Parry. The song became a pan-African liberation anthem and was later adopted as the national anthem of five countries in Africa including Zambia, Tanzania, Namibia and Zimbabwe after independence. Zimbabwe and Namibia have since adopted new national anthems. The song is currently the national anthem of Tanzania, Zambia and since 1994, a part of the joint national anthem of South Africa.
Contents



History

Nkosi Sikelel' iAfrika was originally composed as a hymn in 1897 by Enoch Sontonga, a teacher at a Methodist mission school in Johannesburg, using the tune 'Aberystwyth' originally composed by Joseph Parry in 1879. The words of the first stanza were originally written in Xhosa as a hymn. In 1927 seven additional Xhosa stanzas were added by the poet Samuel Mqhayi.
Words and translation

Original hymn as composed by Enoch Sontonga, but not as used in the National anthem of South Africa, in which the first two of the stanza are sung in Xhosa and the last two in Zulu. Second stanza sang in Sesotho. Third stanza sang in Afrikaans as part of the original anthem, Die Stem van Suid-Afrika. Fourth stanza sang in English.
Current national anthem
South Africa

The song was the official anthem for the African National Congress during the apartheid era and was a symbol of the anti-apartheid movement.[1] For decades during the apartheid regime it was considered by many to be the unofficial national anthem of South Africa, representing the suffering of the oppressed. In 1994 after the fall of apartheid, the new President of South Africa Nelson Mandela declared that both "Nkosi Sikelel' iAfrika" and the previous national anthem, "Die Stem van Suid-Afrika" ("The Call of South Africa") would be national anthems. While the inclusion of "Nkosi Sikelel' iAfrika" celebrated the newfound freedom of many South Africans, the fact that "Die Stem" was also kept as an anthem even after the fall of apartheid, signified to all that the new government under Mr Mandela respected all races and cultures and that an all-inclusive new era was dawning upon South Africa. In 1996, a shortened, combined version of the two anthems was released as the new national anthem of South Africa under the constitution of South Africa.
Zambia

The hymn is the national anthem of Zambia.
Tanzania

The hymn 'Mungu ibariki Afrika' is the national anthem of Tanzania.
 
Enoch Mankayi Sontonga.jpg
Enoch Mankayi Sontonga (ca. 1873 - 18 April 1905) was the composer of Nkosi Sikelel' iAfrika (God Bless Africa), which has been part of the South African national anthem since 1994. It was also the official African National Congress (ANC) anthem since 1925 and is still the national anthem of Tanzania and Zambia. It was also sung in Zimbabwe and Namibia for many years.
Sontonga, a Xhosa, was born in the city of Uitenhage in the Eastern Cape. He trained as a teacher at the Lovedale Institution and subsequently attended the Methodist Mission school in Nancefield, near Johannesburg. He was also a choirmaster and a photographer.
The first verse and chorus of Nkosi Sikelel' iAfrika was composed in 1897 using the tune 'Aberystwyth' originally composed by Joseph Parry in 1879. It was first sung in public in 1899 at the ordination of Reverend Boweni, a Methodist minister. Later the Xhosa poet Samuel Mqhayi wrote a further seven verses.
 
Kwanini beti yake moja inataka Mungu aibariki Africa peke yake, na sio mabara mengine, wakati huwa hatupigii magoti huku tukitembeza bakuli kuomba misaada katika nchi za Africa?
 
Wimbo wa Taifa:MAPENDEKEZO KWA TUME YA KATIBA: WIMBO MPYA WA TAIFANINATUMIA fursa hii kuwaomba wasomaji wangu kuchangia maoni na maudhui kwa ajili ya wimbo mpya wa taifa. Ninaona kuotkana na matukio ya zamani na hivi karibuni kwamba wimbo tuliokuwa nao ambao upo hapa chini umeshapitwa na wakati vibaya mno. Hivyo ninapendekeza mbadala ambao tunapaswa wote kuuboresha, kuutolea hoja ya kukubalika, kuutetea na kuuupigani hadi ukubalike katika KATIBA MPYA.WIMBO WA ZAMANIMungu Ibariki Afrika ...Mungu Ibariki AfrikaWabariki viongozi wakeHekima, umoja na amaniHizi ni ngao zetuAfrika na watu wakeIbariki Afrika x 2Tubariki watoto wa Afrika.Mungu Ibariki TanzaniaDumisha uhuru na umojaWake kwa waume na watotoMungu Ibariki x 1Tanzania na watu wake.Ibariki TanzaniaTubariki watoto wa Tanzania.MBADALA PENDEKEZWA :Mungu Inusuru AfrikaMungu Tunusuru AfrikaTunusuru mjini na vijijiniWezi, waongo na mafisadiHao ni maadui zetuAfrika, nchi na watu wetu!Mungu Tunusuru AfrikaTunusuru nyumbani, mtaani na njianiNa wapigaji watu, wauaji na katiliHao ni maadui zetuAfrika, nchi na watu wetu!Mungu Tunusuru AfrikaTunusuru shuleni, vyuoni na masomoni,Na dhulumati, wagawa watu na wenye visasiHao ni adui zetuAfrika, nchi na watu wetu!Mungu Tunusuru AfrikaTunusuru wananchi na viongoziWenye dharau, kisasi, wivu na uchoyoHao ni adui zetuAfrika, nchi na watu wetu!Mungu Tunusuru AfrikaTunusuru wananchi na viongoziWenye jeuri, kiburi na diktetaHao ni adui zetuAfrika, nchi na watu wetu!Mungu Tunusuru AfrikaTunusuru wananchi na viongoziWajiuzao nje, bepari waovu na vibakaHao ni adui zetuAfrika, nchi na watu wetu!Mungu Tunusuru AfrikaTunusuru mitaani, kataani, wilayaniWapigaji watu, wauaji na waficha fedha UswiziHao ni maadui zetu....Afrika, nchi na watu wetu!Mungu Tunusuru AfrikaTunusuru mijini, vijijini na nchi za njeUjanja, kuzomea na vigelegeleHao ni maadui zetu.....Afrika, nchi na watu wetu!Mungu Tunusuru AfrikaTunusuru wafanyabiashara, wakulima na wafanyakazi,Matanuzi, kujiona na vitishoHao ni maadui zetu...Afrika, nchi na watu wetu!Mungu Tunusuru AfrikaTunusuru kazini, dukani, shuleni na shambani....Kubebwa, kununuliwa na udiktetaHao ni maadui zetu...Afrika, nchi na watu wetu!Mungu Tunusuru AfrikaTunusuru kazini, dukani, shuleni na shambani....Mishahara, lishe na uongozi mbovu ....Hao ni maaui zetu....Afrika, nchi na watu wetu!Tunusuru Afrika x 2Tunusuru wakazi wa Afrika.Mungu Tunusuru TanzaniaZidisha haki, usawa na demokrasiaKwenye serikali, mikoa na vyama vyetuMungu Tunusuru x 1Tanzania na viongozi wake.Tunusuru TanzaniaTubariki wataewaliwa wa Tanzania.WIMBO WA TAIFAMBADALA PENDEKEZWA :Mungu Inusuru AfrikaMungu Tunusuru AfrikaTunusuru mjini na vijijiniWezi, waongo na mafisadiHao ni adui zetuAfrika na nchi zetu.Tunusuru Afrika x 2Tunusuru wakazi wa Afrika.Mungu Tunusuru TanzaniaZidisha haki, usawa na demokrasiaKwenye serikali, mikoa na vyama vyetuMungu Tunusuru x 1Tanzania na viongozi wake.Tunusuru TanzaniaTubariki wananchi wa Tanzania.ZAMANI:Mungu Ibariki AfrikaWabariki viongozi wakeHekima, umoja na amaniHizi ni ngao zetuAfrika na watu wakeIbariki Afrika x 2Tubariki watoto wa Afrika.Mungu Ibariki TanzaniaDumisha uhuru na umojaWake kwa waume na watotoMungu Ibariki x 1Tanzania na watu wake.Ibariki TanzaniaTubariki watoto wa Tanzania.***
 
yaani uandish huu hauvutii kabisa kusoma uatia uvivu kweli...............
 
Tumuondoe kabisa Mungu kwenye wimbo wa taifa. Miungu ipo mingi hapo ni mungu gani anakusudiwa?Halafu si kila siku nyie mnasema hii nchi haina dini? Kama huna dini unaweza kuwa na mungu? I'm just Curious!
 
Hivi ni kwanini Wimbo wetu wa Taifa unaanza kwanza na Mungu Ibariki Afrika na sio Mungu Ibariki Tanzania Kwanza?
Lengo hasa ni nini? Je Afrika ni muhimu kuliko Tanzania?

Je kuna haja ya kufuta Ubeti wa Kwanza na kubakiza tu Mungu Ibariki Tanzania?
 
Sababu ni waliokuwa wanatumia akili zao vyema waliona kuwa sisi ni Wa-Afrika kwa kuumbwa na Mungu na wa-Tanzania kwa kutengwa na wakoloni. Mluo wa Mara anaishi Tz analima Kenya, Mmasai akiwa anachunga ng'ombe huwezi mwambia asifuate majani kenya, Mmakonde vivyo hivyo .n.k.
 
Before colonial era Africa ilikua ni moja,tumetengwa tu baada ya partition...Nidhanivyo mtunzi alifuata protocal kwa kuanza na Mzazi(Africa) kabla ya mwana(Tanzania) Mungu LIbariki Bara langu...Mungu ibarikii nchi yangu Tanzania
 
Hivi ni kwanini Wimbo wetu wa Taifa unaanza kwanza na Mungu Ibariki Afrika na sio Mungu Ibariki Tanzania Kwanza?
Lengo hasa ni nini? Je Afrika ni muhimu kuliko Tanzania?

Je kuna haja ya kufuta Ubeti wa Kwanza na kubakiza tu Mungu Ibariki Tanzania?

Mkuu Kijakazi, Swali lako zuri sana. Katika kujibu swali lako naomba nitumie mtindo wetu wa swali linajibiwa kwa swali. Tanzania ni sehemu ya Afrika bla Afrika hakua Tanzania. Wewe unaitwa Kijakazi, "Kijakazi" hasa ni nini katika mwili wako??? Je ni mkono la hasha ungeitwa mkono wa Kijakazi, je ni kichwa? La hasha kingeitwa kichwa cha Kijakazi. Nikitaka kuelezea chochote kilichopo kwako wewe Kijakazi iwe ni mguu, mkono, kichwa reference ni nafsi yako iitwayo KIJAKAZI wewe ni Kijakazi lakini wewe si kichwa pekee, walia mwili pekee, miguu pekee bali hivyo vyote ni sehemu ya Kijakazi ambacho si chochote katika hivyo na vinginevyo katika Kijakazi.
Afrika bila Tanzania si hii tunayoifahamu na Tanzania bila Afrika si hii tunayoifahamu. Huwezi kufanyia mabadiliko wimbo adhim kama wimbo wetu wa taifa ambao Mtunzi wake ni Enock Sentongo wa Afrika Kusini.

Chezea Mungu Ibariki wewe!!!!!
 
Mkuu Kijakazi, Swali lako zuri sana. Katika kujibu swali lako naomba nitumie mtindo wetu wa swali linajibiwa kwa swali. Tanzania ni sehemu ya Afrika bla Afrika hakua Tanzania. Wewe unaitwa Kijakazi, "Kijakazi" hasa ni nini katika mwili wako??? Je ni mkono la hasha ungeitwa mkono wa Kijakazi, je ni kichwa? La hasha kingeitwa kichwa cha Kijakazi. Nikitaka kuelezea chochote kilichopo kwako wewe Kijakazi iwe ni mguu, mkono, kichwa reference ni nafsi yako iitwayo KIJAKAZI wewe ni Kijakazi lakini wewe si kichwa pekee, walia mwili pekee, miguu pekee bali hivyo vyote ni sehemu ya Kijakazi ambacho si chochote katika hivyo na vinginevyo katika Kijakazi.
Afrika bila Tanzania si hii tunayoifahamu na Tanzania bila Afrika si hii tunayoifahamu. Huwezi kufanyia mabadiliko wimbo adhim kama wimbo wetu wa taifa ambao Mtunzi wake ni Enock Sentongo wa Afrika Kusini.

Chezea Mungu Ibariki wewe!!!!!

Kwani tukianza Ubeti wa kwanza na Mungu Ibariki Tanzania kwanza, halafu Ubeti wa pili ndio Mungu awabariki hao wengine kuna tatizo gani? huko sio kuubadilisha wimbo huu mzuri bali ni kuuweka kiuhalisia tu zaidi, yaani maudhui yale yale isipokuwa mpangilo wa beti ndio tubadilishe!!
 
Mkuu Kijakazi, Swali lako zuri sana. Katika kujibu swali lako naomba nitumie mtindo wetu wa swali linajibiwa kwa swali. Tanzania ni sehemu ya Afrika bla Afrika hakua Tanzania. Wewe unaitwa Kijakazi, "Kijakazi" hasa ni nini katika mwili wako??? Je ni mkono la hasha ungeitwa mkono wa Kijakazi, je ni kichwa? La hasha kingeitwa kichwa cha Kijakazi. Nikitaka kuelezea chochote kilichopo kwako wewe Kijakazi iwe ni mguu, mkono, kichwa reference ni nafsi yako iitwayo KIJAKAZI wewe ni Kijakazi lakini wewe si kichwa pekee, walia mwili pekee, miguu pekee bali hivyo vyote ni sehemu ya Kijakazi ambacho si chochote katika hivyo na vinginevyo katika Kijakazi.
Afrika bila Tanzania si hii tunayoifahamu na Tanzania bila Afrika si hii tunayoifahamu. Huwezi kufanyia mabadiliko wimbo adhim kama wimbo wetu wa taifa ambao Mtunzi wake ni Enock Sentongo wa Afrika Kusini.

Chezea Mungu Ibariki wewe!!!!!

Nyerere alikopi na kupesti.

Kinachonikasirishaga katika wimbo ule ni haka kamstari; wabariki viongozi wake' hasira zangu huwa zinakuja pale watu kwa makusidi wanapotaka Mungu aanze kubariki hawa wezi waliojazana kwenye serikali za hizi nchi za afrika. tusipo ondoa hako kamstari hatuwezi endelea maana anajua tunamtania. kange someka hivi; walaani,na peleka motoni wezi wote. hapo tungefikiriwa kwa Mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom