mpaka Joketi ndaniinamana hako kajamaa kanamsafara wa kutosha kabisaaa
aiseeempaka Joketi ndani
Usikonde mkuu bado miaka 2.Piga rewind siku zirudi 2015 ili uzungushe mikono kama nzi labda itakisaidia mkuu
Nawaona policcm hapo na sare za chamaMapokezi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndugu KHERI JAMES na Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa, Tabia Mwita katika Uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza
[HASHTAG]#TukutaneKazini[/HASHTAG] View attachment 666450View attachment 666451
Google imefungiwa mkuu?Ndio nani huyo?
Hiyo picha juu....,aliyeko kulia mbona kafanana na Gabriel Jesus
Okay kumbe mambo ni zamu kwa zamu.Afrika shida sana, hapo wote wanaimba kale kawimbo ka "it is our time to eat"!
mbona kunamanyunyu ya watuMapokezi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndugu KHERI JAMES na Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa, Tabia Mwita katika Uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza
[HASHTAG]#TukutaneKazini[/HASHTAG] View attachment 666450View attachment 666451
cjaelewa bado,,, sasa hapo yup ndo mwenyekiti wetu
Huyo Mzee ndo kiongozi wa Vijana?Mapokezi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Ndugu KHERI JAMES na Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa, Tabia Mwita katika Uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza
[HASHTAG]#TukutaneKazini[/HASHTAG] View attachment 666450View attachment 666451
Piga rewind siku zirudi 2015 ili uzungushe mikono kama nzi labda itakisaidia mkuu
Huo ushuzi kabisa Uhuru wa habari mmeminya mnaamini katika matumbo yenu tuVIJANA TUNA IMANI NA VIONGOZI WETU CCM IMARA INAJENGWA NA VIJANA IMARA
acha upuuzi uhuru wa habari gani mmenyimwa zile press za lissu alikuwa anatumia nini kam sio vyombo vya habariHuo ushuzi kabisa Uhuru wa habari mmeminya mnaamini katika matumbo yenu tu