Mapokezi ya kamanda Lema Arusha

<br />
<br />
Katika sehemu duniani ambayo haiwezi kuwa na uhaba wa bangi ni arusha iko plenty sema tu sasa soko litashuka sababu mwezi wa ramadhani ndo huo wateja watapungua saaaana
Penye red,ni ukweli usiyopingika!!
 
Freedom Of Flag naomba uendelee kutujuza hadi wakati wa mkutano kama Naibu Meya Mhe. Malah atatinga leo.
 
atapokelewa na madereva wa daladala, kichekesho

Kwaliompigia Kura ni Matajiri? siamepigiwa kura na hoa hao Madereva wa daldala na Walalahoi wamefurahishwa na utendaji wake wakazi wa waliomuajiri ndio wanaenda kumpa pongezi kwa kusema ambavyo wanavyotaka hao waliomuajiri au wapiga kura wake, wewe ndio kichekesho na kilaza kama Vasco Da Gama
 
chonde chonde Lema be careful of trust ua getting from the cdm supportes usije ukawa kama JK waliyemwona chaguo la Mungu lakini sasa ni kichekesho...make sure u become a milestone for Arusha people ...God bless Lema and continue to Bless Chadema..
 
kwa hiyo amewandaa au unataka tuamini wewe ndiye uliyetumwa ukawwandae, subirini tu huyu mahanya wenu atakapobomolwa mtajuta
 
Mkuu Mariah,

sio kwamba Omr haelewi, anaujua ukweli tatizo wanatimiza kazi waliyotumwa na serikali ya magamba, jioni wapate mshiko. jamaa wa aina ya Omr wapo wengi humu, Nape amewasambaza kweli
inawezekana mwenzangu..ila
mwenzetu bado yupo enzi za urindi na ulimbombo....hata akijivua gamba sumu ipo palepale...
namshauri abadilike kutokana na mazingira la si hivyo amekwisha na anazidi kumaliziwa.
 
wana JF,<br />
<br />
Leo majira ya mchana Kamanda wa kikosi cha ardhini Mh. Godbless Jonathan Lema (MB) atapokelewa na madereva wa daladala pamoja na wananchi wengine wapenda haki katika maeneo ya Kisongo akitokea dodoma, na kuelekea mjini na kufanya mkutano katika uwanja wa NMC.<br />
Mh. Lema atatokea dodoma mida ya saa sita, na kufika Kisongo majira ya saa nane au saa tisa.<br />
<br />
nawakilisha
<br />
<br />
Nikweli kulikuwa na maandamano ila kamanda lema amewataka wakazi wa jiji hilo kukusanya nguvu nakusubiri majibu ya waziri mkuu juu ya maswala ya umeme. Kama majibu ya waziri mkuu yatakuwa nilegelege basi wakazi hawo waandamane kuudai umeme kwa kutumia nguvu ya umma.

Samahanini kwa usumbufu uliyojitokeza. Mungu ibariki arusha mungu ibariki chadema na watu wake na kwapamoja tutafika.
 
sasa si jamaa yako ameona ni sifa kubwa Lema kupokelewa na madereva wa daladala.

kwani madereva wa daladala sio wapiga kura wake? ulitaka apokewe ni wafanyabiashara wakubwa na wakurugenzi wa makampuni au?
 
Kwaliompigia Kura ni Matajiri? siamepigiwa kura na hoa hao Madereva wa daldala na Walalahoi wamefurahishwa na utendaji wake wakazi wa waliomuajiri ndio wanaenda kumpa pongezi kwa kusema ambavyo wanavyotaka hao waliomuajiri au wapiga kura wake, wewe ndio kichekesho na kilaza kama Vasco Da Gama
mzalendo 80 sema mwenzangu...........ni madereva daladala wenye akili timamu na walala hoi wanaoona vya kwao vinaliwa na makada bila wao kunufaika navyo sa kwanini tusiwatoe nishai wanaotumaliza??????????wao walianza sie twamaliza mkuu.waendelee kuwa vilaza kwa kudai mwongozo kila kukicha...
 
Hii sherehe nao itakuwa kubwa sana arusha, basi bangi itakua tabu kupata wiki nzima.
<br />
<br />

Wewe hujui ni kiasi gani wananchi wanaimani na viöngoz wao ndo mana washangaa.

Izo ndo safari za nje ya nchi za lema,co kama Jahkaya.
 
wana JF,

Leo majira ya mchana Kamanda wa kikosi cha ardhini Mh. Godbless Jonathan Lema (MB) atapokelewa na madereva wa daladala pamoja na wananchi wengine wapenda haki katika maeneo ya Kisongo akitokea dodoma, na kuelekea mjini na kufanya mkutano katika uwanja wa NMC.
Mh. Lema atatokea dodoma mida ya saa sita, na kufika Kisongo majira ya saa nane au saa tisa.

nawakilisha
Mkuu tunashukuru kwa kutujuza, tunaomba utuletee uhondo huo sisi ambao tuko mbali.
 
Freedom Of Flag naomba uendelee kutujuza hadi wakati wa mkutano kama Naibu Meya Mhe. Malah atatinga leo.
<br />
<br />
tupo pamoja mkuu, ila nataka nikuhakikishie kuwa hakuna diwani atakayekuwepo, as you all know that Lema is against muafaka wa kichina.
 
&lt;span style=&quot;font-family: comic sans ms&quot;&gt;&lt;font size=&quot;3&quot;&gt;&lt;font color=&quot;#0000ff&quot;&gt;Kwaliompigia Kura ni Matajiri? siamepigiwa kura na hoa hao Madereva wa daldala na Walalahoi wamefurahishwa na utendaji wake wakazi wa waliomuajiri ndio wanaenda kumpa pongezi kwa kusema ambavyo wanavyotaka hao waliomuajiri au wapiga kura wake, &lt;/font&gt;&lt;/font&gt;&lt;/span&gt;&lt;font size=&quot;4&quot;&gt;&lt;font color=&quot;#ff0000&quot;&gt;&lt;b&gt;wewe ndio kichekesho na kilaza kama Vasco Da Gama&lt;/b&gt;&lt;/font&gt;&lt;/font&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Vasco da Gama mkuu hahaaa!!
 
Nimeongea nae kwa simu yupo Meserani kama DK 10 zimepita. ilikuwa 11:40.
Vijana jiandaeni.
wako tayari,ganja imeshapanda, gomba usiku kucha kinacho fatia ni kufanya fujo. Nasikia siku hizi mnapata stimu kutoka kwenye mabomu ya machozi. Kweli kuna kazi arusha
 
Nimeongea nae kwa simu yupo Meserani kama DK 10 zimepita. ilikuwa 11:40.<br />
Vijana jiandaeni.
<br />
<br />
Jamani somenipost yangu hapo juu kamanda kasema watu wajiandae kwakaui ya waziri mkuu ndiyo watafanya maandamano na mapokezi yake akitokea bungeni kama waziri mkuu atakuja na hoja zake legelege juu ya umeme. Leo ataingia arusha kimya kimya ameomba samahani sana kwa usumbuvu uliyojitokeza
 
Back
Top Bottom