Mapinduzi Zanzibar mwisho mwaka huu

Tigga Mumba

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
746
473
Natamani hizi sherehe za mapinduzi mwakani siziwepo kwetu watanganyika. Ziwe kwao tu sisi tuna sherehe moja tu ile ya December 9.
 
Zanzibar ni sehemu muhimu ya jamhuri ya tanzania, kwa hiyo lazima tanzania yote kama nchi (country or nation) iwepo hata kama zanzibar japo si rasmi kutokana na kutokuwa wazi katiba yetu zanzibar ni tuinchi (state) kwa maana hiyo ni swafi sherehe ifike kwenye mainland pia
 
Back
Top Bottom