Tigga Mumba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 746
- 473
Natamani hizi sherehe za mapinduzi mwakani siziwepo kwetu watanganyika. Ziwe kwao tu sisi tuna sherehe moja tu ile ya December 9.
Sasa mbona tumefunga ma-ofisi huku Tanganyika wakati ni sherehe ya nchi jirani....Kwani sasa hivi ni ya Tanganyika? Si bado ni sherehe ya nchi jirani ya Zanzibar
Sasa mbona tumefunga ma-ofisi huku Tanganyika wakati ni sherehe ya nchi jirani....