Mapinduzi ya Zanzibar: Mchango wa John Okello (Che Guevara wa Afrika Mashariki) umefutwaje?

Field Marshal Okello Biography from Wikipedia

Youth
John Okello was baptised at two years old (his baptised name being Gideon). From his eleventh year, he was an orphan and he grew up with other relatives. When he was fifteen, he left his house in order to search for work and he worked in several places in East Africa.

He worked from 1944 as clerk, manservant, gardener and worker. He later learned the trade of bricklaying and was active as a bricklayer. He was arrested in Nairobi (Kenya) for unclear reasons (he himself stated that he was arrested for a crime of sexual nature) and stayed in prison for two years. During his incarceration he became a revolutionary.

Speculations are abound about Okello having held residence and being trained in the communist Cuba of Fidel Castro, although this has not been confirmed by Okello himself.

Police officer on Pemba

In 1959 Okello left for the island of Pemba, where he tried to find work on one of the farms, but became a police officer instead. Okello joined the Afro-Shirazi Party of sheik Abeid Karume. This party opposed the domineering position of the minority Arabs on the islands of Zanzibar and Pemba.

Revolutionary

Okello left for Zanzibar in 1963, where he contacted the leaders of the Afro-Shirazi Youth League, the youth organisation of the Afro-Shirazi Party. The Youth League strived for a revolution in order to break the power of the Arabs. On Zanzibar, Okello was also a member of the Painters Union, being a house painter. In his free time he built up a small army of determined African nationalists. This army was required to hold themselves to the strict rules of Okello: sexual abstinence, no raw meat and no alcohol.

The highly religious Okello was convinced he had been given orders in his dreams by God to break the powerful position of the Arabs and to found the revolutionary state on Zanzibar and Pemba. On the night before the "revolution", Okello gave his men the order to kill all Arabs between 18 and 25 years of age, to spare pregnant and elderly women, and not to rape virgins.


Uprising

On January 12, 1964, with popular support from the island's oppressed native African majority, Okello and his men fought their way to the capital of Zanzibar, Stone Town, where the sultan lived. Even though they were poorly armed, Okello and his men surprised the police force of Zanzibar and they took power.

During a speech on radio, Okello dubbed himself the "field marshal of Zanzibar and Pemba". He gave the sultan an order to kill his family and to kill himself afterwards; otherwise, Okello would do so himself. However, the sultan had already brought himself to safety later to be harboured in Britain. The prime minister and other ministers also managed to escape.

The coup led to the poorly-known massacre of between 5,000 and 20,000 Arabs, whose families had been living in Zanzibar for centuries, between January 18 and 20.

Shoved to the side
Okello created a Revolutionary Council and named the leader of the Afro-Shirazi Party, Abeid Karume, as president and leader of the (Arabic) Umma-(Massa) Party, sheik Abdulrahman Muhammad Babu as prime minister (later: vice-president). Both Karume and Babu had not been informed of the coup. Both residing in Tanganyika, but returned to Zanzibar, where they were welcomed by Okello. However, neither Karume or Babu wanted anything to do with him. When Okello left for the African mainland they forbade him to return and he was deported both from Tanganyika and Kenya.


Speculations concerning his death

Okello then stayed in Kenya, in Congo-Kinshasa and in Uganda. He was incarcerated multiple times and was last seen with the Ugandan president Idi Amin in 1971 and vanished afterwards. In the book "Revolution on Zanzibar", written by Don Petterson, it is more or less assumed that Idi Amin saw him as a threat (after Amin promoted himself Okello reportedly joked that "now Uganda has two field marshals"[citation needed]) and had arranged his assassination. This remains speculative, however.
This could be the deepest information about the okello guy that I ve ever came across
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwatumia salaam zangu za kuadhimisha kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tutayalinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia maadhimisho mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Japo sasa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yanaelekea miaka 60, Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Kazi Iendelee!.

Paskali
 
YAITWAYO "MAPINDUZI"

John Okello alitoka kwao Uganda, Injin aliyetoka kwao Kenya na Mfaranyaki aliyetoka Tanganyika, na kuivamia nchi huru usiku wa manane wa kuamkia tarehe12 Januari 1964. Wananchi, mafisadi kwa sababu ya maslahi ya nafsi zao hawakuhisi uchungu kuipoteza nchi yao, wala kuzipoteza roho za wazee wao, za ndugu zao na za marafiki zao. Kwa mujibu wa kitabu cha huyo aliyejipa ujamadari wa hayo 'mavamizi' ya Januari 12, 1964, John Okello, amesema kuwa watu waliyokufa katika 'mavamizi' hayo ni 13,000. Hii ni idadi ndogo kabisa aliyopenda kuitaja.

Ukatili, ushenzi na unyama uliofanywa katika visiwa hivi vilivyokuwa na ustaarabu wa kupigiwa mfano, hauwezi hata kuhadithika. Wengi waliokuwa wanaijua Zanzibar, waliona taabu kuyaamini waliyokuwa wameyasikia yametokea Zanzibar kutokana na hayo yenye kuitwa 'mapinduzi'. Ilifika hadi, siku hiyo ya 'mavamizi' washenzi na makatili hao kuwanajisi maiti wa kike.

Kitendo hicho hakijawai kufanyika katika nchi nyingi ulimwenguni zenye ubinaadamu na ustaarabu wake. Lenye kuzidi kushangaza na kusikitisha ni kumsikia mwananchi mwenye kujulikana kuwa yeye ndiye mwongozi wa hao wenye kujiita "progressives" akasema kuwa, watu waliyouliwa katika hayo yenye kuitwa 'mapinduzi' ni 491! Duh!

Mwenyewe Okello alieongoza hayo mauwaji amesema kuwa wamekufa wananchi 13,000. Hata wangekuwa watano tu, bali ni binaadamu, ni wananchi, jee, ndio wawe wamestahiki kuuliwa kwa kuvamiwa nchi yao na wageni ambao wewe na wenzio kama wewe mmechanganyika na hao wageni katika kuifisidi nchi na wananchi wake? La kustaajabisha zaidi - ni pale ilipojulikana kuwa haya yote yalipangwa kabla - kwa siku 30 tu yaaani Desemba 10 mpaka Januari 11 ilitosha kujuwa uovu wa Serikali hata ikastahiki kupinduliwa? Hata ingelikuwa ni ovu hivyo, bali njia za kuiondowa za kikatiba zilikuwepo ambazo zingaliweza kutumika, khasa na hao Wapinzani. Haikuhitaji hata kidogo kutumia nguvu. Lakini hakika khasa ni kuwa mambo yalikwisha pangwa zamani, hayo yalikuwa ni matekelezo tu!!
Reference please!!
 
Maana kuna watu kibao walikuwa mashujaa wa Tanzania waliachwa ka kusudi wakati wanaandika historia sasa hizi kelele za Okello naona haziishi

Iweje watu kama akina Suedi Kagasheki na Dosa Aziz wasipewe kipaumbele wakati Okello mnataka kumfanya Mungu Mtu?

Charity begins at home na tunao our sons and daughters ambao walipigania na kumwaga damu zao pale lakini husikii kitu.
Unaifahamu historia ya karume? (I see it's just utopian)
 
Kwa nini tusiwaenzi kina Chief Mkwawa, Mangi Sina, Mangi Mandara, Wakina Chief Songea Mbano na Chief Chabruma wa kule Ruvuma, au Saidi Milambo wa tabora, wakina Isike, Kinjekitile, au Chief Masanja, Chief Mataka wa kule kwa wayao? Who's Okello?
Fafanuwa michango Yao Ili wapewe iyo heshima, michango wa okelo unafahamika
 
Mzee Philemon ahsante kwa kutoa topic hiii.Kwa ukweli mchango wa Okello katika mapinduzi ya waafrika umesahaulika sana.Inatakiwa ijengwe sanamu kubwa ya Okello kwa kuwa naamini kuwa huyu ni shujaa na jasiri mkubwa kuliko wote afrika ya mashariki,sidhani kama kuna mwanamapinduzi yoyote anayemkaribia huyu.

Bahati mbaya mafanikio yake yametekwa na karume na wengine....lakini naamini Tanzania na Zanzibar tutamkumbuka mtu huyu miaka ijayo..wakati wanahistoria wetu watakapoacha mtindo wao wa kuchanganya historia na siasa.

Ndio watu wengi walikufa,lakini revolution sio tea party,watu wanakufa lakini mafanikio ya kuondoa tabaka la makupe ambao waliwatweka wazanzibari mika zaidi ya 500 ya utumwa sio mchezo.

Cha kushangaza, 'wanahistoria' wetu wa so called udsm no one among them has ever written anything on Okello,wenywewe huangalia 'mashujaa' wa nje tu.

Ni aibu kubwa kwa watanzania!!!

Ahsante Phil kwa insight yako!!

 
Fafanuwa michango Yao Ili wapewe iyo heshima, michango wa okelo unafahamika
Remedius...
Okello ana mchango gani katika historia ya mapinduzi ya Zanzibar?

Tatizo ninaloliona katika mjadala huu ni watu kuzidiwa na hisia ambazo hazima ithibati.

Waliohusika na mapinduzi ya Zanzibar wote wanafahamika.

Kwanza ni serikali ya Tanganyika baadhi ya viongozi wake na vyombo vyake vyote vya usalama.

Historia ya mapinduzi imeandikwa yote katika kitabu cha Dr. Harith Ghassany ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru,'' na kuna mtu kaweka hapa kipande chote cha Okello lakini inaelekea wengi wenu hampendezewi na historia ya kweli mnapenda historia za kutunga.

Mara kadhaa hapa nimemweleza Okello na nafasi yake katika mapinduzi.

Mimi nilikuwa Mtafiti Msaidizi wa Dr. Ghassany kwa miaka saba wakati anatafiti historia hii.

Najua mengi sana.

Nashangaa ninaposoma historia zinazoletwa hapa kumtukuza Okello hatajwi Ali Mwinyi Tambwe, Jumanne Abdallah, Victor Mkello na Mohamed Omari Mkwawa.

Hawa ndiyo waliokuwa wasimamizi wa Kambi ya Kipumbwi, Tanga ambako ndiko walikowekwa mamluki wa Kimakonde waliovushwa kuingizwa Zanzibar kuipigia kura ASP katika uchaguzi wa Zanzibar wa mwaka wa 1961 na kusaidia katika mapinduzi mwaka 1964.

Upi mchango wa Oscar Kambona na Abdullah Kassim Hanga?

Upi mchango wa Wayahudi, Algeria na Waingereza wenyewe na washirika wake?

Upi mchango wa Makomredi?

Katika ''dramatis personae,'' yaani wahusika wa tamthlia hapa mliyemuona wa kujengewa sanamu ni Okello.

Hajajengewa mnara Hanga atajengewa Okello?

Okello hata kama asingekuwapo mapinduzi yangewezekana.

Lakini bila msaada wa Tanganyika mapinduzi yasingewezekana.

Tujifunze kusoma tunachotaka kujadiili kabla hatujaingia katika mijadala.

Kuna mengi hamyafahamu katika historia ya mapinduzi.

1682915714760.jpeg

Kushoto Ali Mwinyi Tambwe amembeba Karume​
 
Remedius...
Okello ana mchango gani katika historia ya mapinduzi ya Zanzibar?

Tatizo ninaloliona katika mjadala huu ni watu kuzidiwa na hisia ambazo hazima ithibati.

Waliohusika na mapinduzi ya Zanzibar wote wanafahamika.

Kwanza ni serikali ya Tanganyika baadhi ya viongozi wake na vyombo vyake vyote vya usalama.

Historia ya mapinduzi imeandikwa yote katika kitabu cha Dr. Harith Ghassany ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru,'' na kuna mtu kaweka hapa kipande chote cha Okello lakini inaelekea wengi wenu hampendezewi na historia ya kweli mnapenda historia za kutunga.

Mara kadhaa hapa nimemweleza Okello na nafasi yake katika mapinduzi.

Mimi nilikuwa Mtafiti Msaidizi wa Dr. Ghassany kwa miaka saba wakati anatafiti historia hii.

Najua mengi sana.

Nashangaa ninaposoma historia zinazoletwa hapa kumtukuza Okello hatajwi Ali Mwinyi Tambwe, Jumanne Abdallah, Victor Mkello na Mohamed Omari Mkwawa.

Hawa ndiyo waliokuwa wasimamizi wa Kambi ya Kipumbwi, Tanga ambako ndiko walikowekwa mamluki wa Kimakonde waliovushwa kuingizwa Zanzibar kuipigia kura ASP katika uchaguzi wa Zanzibar wa mwaka wa 1961 na kusaidia katika mapinduzi mwaka 1964.

Upi mchango wa Oscar Kambona na Abdullah Kassim Hanga?

Upi mchango wa Wayahudi, Algeria na Waingereza wenyewe na washirika wake?

Upi mchango wa Makomredi?

Katika ''dramatis personae,'' yaani wahusika wa tamthlia hapa mliyemuona wa kujengewa sanamu ni Okello.

Hajajengewa mnara Hanga atajengewa Okello?

Okello hata kama asingekuwapo mapinduzi yangewezekana.

Lakini bila msaada wa Tanganyika mapinduzi yasingewezekana.

Tujifunze kusoma tunachotaka kujadiili kabla hatujaingia katika mijadala.

Kuna mengi hamyafahamu katika historia ya mapinduzi.

View attachment 2605696
Kushoto Ali Mwinyi Tambwe amembeba Karume​

Bila okello mapinduzi yasingewezekana kumbuka wakati okello anaomgoza mapambano karume na wenzake walikua wamejificha lodge huku tanganyika,au mzee sideboy umesahau kuwa okello ndiye aliewatisha wazenji na sauti yake kali ya kiuongozi hadi sultani na wafuasi wake wakakimbia zenji?Shida Okello sio mfuasi wa dini ya waarabu ndio mana huwezi kumkubali,Nyerere tu humkubali iweje okello. ?
 
Bila okello mapinduzi yasingewezekana kumbuka wakati okello anaomgoza mapambano karume na wenzake walikua wamejificha lodge huku tanganyika,au mzee sideboy umesahau kuwa okello ndiye aliewatisha wazenji na sauti yake kali ya kiuongozi hadi sultani na wafuasi wake wakakimbia zenji?Shida Okello sio mfuasi wa dini ya waarabu ndio mana huwezi kumkubali,Nyerere tu humkubali iweje okello. ?
Jiwe...
Kama kuongoza tumchukue mtu mmoja tu katika mapinduzi.

Aboud Mmasai
Unaujua mchango wake?

Karume hakujificha.

Karume kuja Dar-es-Salaam ulikuwa uamuzi wa ASP na akija mara nyingi na Special Branch wakijua hata nyumba aliyokuwa akifikia.

Karume na Abbas Sykes walikuwa na uhusiono maalum.

Kwanza Karume alijulishwa kwa Nyerere na Abdul Sykes kaka yake Abbas na ilikuwa safari maalum aliyofanya Abdul na Dossa Aziz kumpeleka Nyerere Zanzibar kumjulisha kwa Karume.

Abbas ndiye aliyekuwa akimpelekea Karume fedha Zanzibar kwa ajili ya harakati za ASP.

Ndiyo ikawa Karume akija Dar-es-Salaam Alikuwa anafikia nyumbani kwa Regional Commissioner wa Eastern Province Abbas Sykes Shaaban Robert Street.

Haya ndiyo msiyoyajua na hamna ujasiri wa kujifunza yale msiyoyafahamu.

Kilichompa umaarufu Okello ni kule kupewa kazi ya kutoa matangazo radioni na akawa anaropoka maneno ya ovyo.
 
Bila okello mapinduzi yasingewezekana kumbuka wakati okello anaomgoza mapambano karume na wenzake walikua wamejificha lodge huku tanganyika,au mzee sideboy umesahau kuwa okello ndiye aliewatisha wazenji na sauti yake kali ya kiuongozi hadi sultani na wafuasi wake wakakimbia zenji?Shida Okello sio mfuasi wa dini ya waarabu ndio mana huwezi kumkubali,Nyerere tu humkubali iweje okello. ?
Upo sahihi okello John anamchango mkubwa kwenye mapinduzi ya Zanzibar but historia imemtupa nnje na kumpa mwingne sifa
 
Back
Top Bottom