Ni vituko vilivyojitokeza katika moja ya vituo vya kupigia kura eneo la kituo cha fire, eneo lililozungukwa na kambi ya polisi dr. Slaa alishinda kwa 80%.
Na wengine waliopangiwa kusimamia vituo vya uchaguzi wakisononeshwa na ushindi wa jk.
Hii inadhilishwa na mapinduzi ya ufaransa ambayo polisi waliungana na raia kuondoa utawara wa kiimla.
KAA CHONJO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Na wengine waliopangiwa kusimamia vituo vya uchaguzi wakisononeshwa na ushindi wa jk.
Hii inadhilishwa na mapinduzi ya ufaransa ambayo polisi waliungana na raia kuondoa utawara wa kiimla.
KAA CHONJO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!