ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Hivi huyu kijana anayetaka kumtoa Rais wa Madagascar madarakani ni kitu gani kinampa kiburi? Na kwanini mataifa mengine yanaangalia tu kama sinema? Hivi hawajui kuwa hii tabia iko contageous? Hawajui kuwa wakilea huu ugonjwa unaweza kuamia kwa majirani very soon? Huyu kijana wa miaka 34 aliyekuwa DJ ni LAZIMA atakuwa amevuta sana bangi!
Ni jukumu la jumuiya ya kimataifa kuhakikisha kuwa huyu muhuni afanikishi kumtoa Rais aliyechaguliwa kidemokrasia madarakani. Kwanini jumuiya ya kimataifa inangoja mpaka ifikie point of no return ndio iingilie hili swala?
Ni jukumu la jumuiya ya kimataifa kuhakikisha kuwa huyu muhuni afanikishi kumtoa Rais aliyechaguliwa kidemokrasia madarakani. Kwanini jumuiya ya kimataifa inangoja mpaka ifikie point of no return ndio iingilie hili swala?