Mapenzi yanauma jamani...

Pole sanaaa. Ukipenda kwa moyo wako wote na penzi linapofikia ukingoni lazima uumie sana. Itachukua muda maumivu unayoyapata sasa hivi kupotea, lakini usiogope kupenda tena kwa moyo wako wote na akili pia kwa kuogopa kuumizwa.



Hivi kuna siri gani nyuma ya mapenzi. Kwanini mapenzi yawe yanauma sana? and when love is over, where does it go?!!
 
Katika maisha kuna mambo mawili ambayo yamefanikiwa kumletea mwanadamu maumivu makali ya moyo. Kufiwa na mtu wa karibu, na mapenzi.

Ukiishi bila kukumbana na hivyo vitu viwili basi utakuwa na raha duniani. Hata kama ni maskini.
 
Usiendekeze mapenzi, usiyafanye kiwa kitu namba 1 ktk akili na nafsi yako, kuuma kuwa kawaida na kutokuuma kabisa ni wewe mwenyewe jinsi unavyojiweko huko. Kuna watu hawajui thamani ya hii kitu ila wanamambo yao yanayowanyima usingizi.
 
Back
Top Bottom