vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
We nawe, kwani wangapi wamekutwa used na bado wakachukuliwa. Nilitaka ushauri sio kejeli.
This makes me Think you made up your story!!!!!
We nawe, kwani wangapi wamekutwa used na bado wakachukuliwa. Nilitaka ushauri sio kejeli.
Mdada it takes more than kufua na kupika to win a man's heart. Kma unaweza sogea dar ukabe rofu otherwise utaishia tu kudhani anakupenda we na mwanao.
Just curious, tangu mwanao akiwa class one na sasa yuko form three!!!! hakuna ndoa hapo, move on. let the truth be told!
Dada highlight at the next stop na mwambie the ride is over....
......
Halafu mwenzio aanze na moja? ......