Mapenzi yananitatiza

Sisi wanawake tunataabu. hasa tukishapenda. yaani you will never see anything wrong with your man.
Mbona hili liko wazi Omwana. kama una mtoto wa Form Three, You are not less than Thirty years!!!
Miaka 30 Bado hujui mchumba wako aliyekufunga usiwe na mwanaume mwingine atakuoa lini!! This is ridiculous!! Kwani amekufunga kamba? leave him alone my big sister!!

Dorin,
Probably you are young and you call yourself an independent woman (if profiles can be read or deduced from your line of thinking). I can assure you there is more to love and life to a woman than why you independents think and i assure you with out taking them into consideration your advice can be so misleading and factually incorrect. Please dont jump to conclusions.

Some people prefer living ina partnership with no specific bondage. Surely love cant be expresed in one form only (marriage).
 
Omwana!! mmependana tangu mtoto akiwa class 1 sasa yuko form 3!
Kwa mahesabu ya haraka haraka hiyo ni miaka kumi. if am no wrong!
Jaribu kukaa chini na kufikiria kuhusu hilo.. 10yrs still in relationship!! STUKA OMWANA.
secondly, uko Mwanza yeye yuko Dar!! Naomba katika hili tupo data kamili, How often do you visit each other? ukinijibu hili Tunaweza kushauriana vizuri dadaangu.

Huwa tunatembeleana mara kwa mara, na huwa nikienda dar nafikia kwake, lakini pia mdogo wangu naona muda umekuwa mrefu sana.
 
Kila swali lina jibu lake hapa duniani.

Pesa inatafutwa....Pesa? Tafuta
Kazi inatafutwa....Kazi? Tafuta
Kufunguliwa mlango....bisha hodi, au kengele what ever!
Bidhaa.....nunua.
Mavuno...panda.

n.k, n.k
Mume.....usifanye kosa la kutafuta mume!!!!!!!!!!!!!!!

Mume hatafutwi!!!!!!!Hapa ndiyo maana mabinti wazuri kama nyinyi mnapata shida mnafikiri.. uzuri wenu, kumpikia, kumfulia, kukubaliwa na ndugu, urembo...unasaidia. Hata kidogooo.

Kuolewa ni kipaji.....yaani mwenyezi Mungu lazima ahusike. Ndiyo maana mabinti wasiotegemewa kabisa wanagombewa kuolewa. Halafu tunaowaona wakali wanagombewa kuonjwa lakini siyo kuolewa!

Usifall ovyo muombe mwenyezi Mungu atakufungua macho ili ujue unaemtaka ni mume au mumiani. Acha kabisa kuwa desperate, utadata.

Waliofanikiwa kutafuta mume wakapata walikuja gundua baadaye hawakupata MUME BALI MUMIANI.
 
Sisi wanawake tunataabu. hasa tukishapenda. yaani you will never see anything wrong with your man.
Mbona hili liko wazi Omwana. kama una mtoto wa Form Three, You are not less than Thirty years!!!
Miaka 30 Bado hujui mchumba wako aliyekufunga usiwe na mwanaume mwingine atakuoa lini!! This is ridiculous!! Kwani amekufunga kamba? leave him alone my big sister!!

Aksante sana dorini, mpaka nimekuja hapa nami nimeona hamna kitu hila nilitaka ushauri kwanza, japo mambo ya mapenzi ni nafsi ya mtu hila hata ushauri unasaidia. Aksante sana.
 
Kabla hujaamua kitu its better kama utakaa nae mwenzako na kumwambia kama u r very serious about ndoa. Dont make quick decision.

Also if you like to read I suggest you to read this book Act Like a Lady, Think Like a Man: by Steve Harvey IIt is very good book it will help u to know What Men Really Think About Love, Relationships, Intimacy, and Commitments.

Thanks Noname. I will try to find that book.
 
Kila swali lina jibu lake hapa duniani.

Pesa inatafutwa....Pesa? Tafuta
Kazi inatafutwa....Kazi? Tafuta
Kufunguliwa mlango....bisha hodi, au kengele what ever!
Bidhaa.....nunua.
Mavuno...panda.

n.k, n.k
Mume.....usifanye kosa la kutafuta mume!!!!!!!!!!!!!!!

Mume hatafutwi!!!!!!!Hapa ndiyo maana mabinti wazuri kama nyinyi mnapata shida mnafikiri.. uzuri wenu, kumpikia, kumfulia, kukubaliwa na ndugu, urembo...unasaidia. Hata kidogooo.

Kuolewa ni kipaji.....yaani mwenyezi Mungu lazima ahusike. Ndiyo maana mabinti wasiotegemewa kabisa wanagombewa kuolewa. Halafu tunaowaona wakali wanagombewa kuonjwa lakini siyo kuolewa!

Usifall ovyo muombe mwenyezi Mungu atakufungua macho ili ujue unaemtaka ni mume au mumiani. Acha kabisa kuwa desperate, utadata.

Waliofanikiwa kutafuta mume wakapata walikuja gundua baadaye hawakupata MUME BALI MUMIANI.

Aksante sana, hila mimi sitafuti wala sio kwamba namng'ang'ania anioe, hapana ni jambo limenikuta nikaona niwashirikishe na ninyi wenzangu, silazimishi kabisa kuolewa na huyu bwana na kupitia safu hii nimejifunza sana, ushauri wenu ni mzuri na nimefunguka macho sana maana unaweza kukaa na kitu moyoni peke yako kikakuumiza sana kama ambavyo mimi ninaumia na sasa nitajitahidi kumtoa akilini na kumwomba Mwenyezi Mungu anibariki kama ni wa kuolewa nitaolewa tu kwa ukweli silazimishi kabisa ndoa hila tu nilitaka maoni yenu wana jamii.
 
Dorin,
Probably you are young and you call yourself an independent woman (if profiles can be read or deduced from your line of thinking). I can assure you there is more to love and life to a woman than why you independents think and i assure you with out taking them into consideration your advice can be so misleading and factually incorrect. Please don't jump to conclusions.

Some people prefer living in a partnership with no specific bondage. Surely love cant be expressed in one form only (marriage).

Sisi wanawake tunataabu. hasa tukishapenda. yaani you will never see anything wrong with your man.
Mbona hili liko wazi Omwana. kama una mtoto wa Form Three, You are not less than Thirty years!!!
Miaka 30 Bado hujui mchumba wako aliyekufunga usiwe na mwanaume mwingine atakuoa lini!! This is ridiculous!! Kwani amekufunga kamba? leave him alone my big sister!!
 
Aksante sana dorini, mpaka nimekuja hapa nami nimeona hamna kitu hila nilitaka ushauri kwanza, japo mambo ya mapenzi ni nafsi ya mtu hila hata ushauri unasaidia. Aksante sana.

I have a feeling this is a true story. pole sana my big sister yaani pole.
Ukipitia Thread kuanzia mwanzo. ushauri mkubwa ni kukaa nae Muongee.
Kulingana na maelezo yako ulisha kaa nae sana lakini anaonekana Haeleweki.
Am I wrong? I gues not.
Naomba nikuulize swali la mwisho.
Wazazi wa pande hizi mbili wanajua kuhusu mahusiano yenu? Sitaki unijibu mimi, Just answer your heart. Kama jibu ni hapana, As my last piece of advice Tell him you do to make it official to both your parents or relatives who can take responsibilities. Hilo likigomewa tena. dadaangu chukua hatua.
Kwa ushauri zaidi I will PM you.
I feel this as a very hurting story. I have my big sister alifanyie kama wewe umri ukasogea akaamua kujitafutia mtoto sasa ametulia anafanya mambo yake. I really wouldnt like the same to happen kwako. Enjoy The evening Dada.
 
I believe wewe ndo unataka kuwapotosha wanawake wenzako. Do you remember these words: marriage is the only war where you sleep with your enemy
Now i doubt if at all you would want your friend to enter marriage and sleep with an enemy wakati sasa hivi anakula shushu na amependwa kwa miaka mingi toka mtoto yuko primary anapendwa tu.

Unajua wanawake huwa ni adui wa wenzao na ndio maana hata female activists wengi ni wale ambao relationship ziliwashinda. (off topic but necessary here).



Unatupotosha!!! who did this research? na sample yake ilikua nchi gani? Tanzania? au Kenya? Africa? Let him re do the research
 
Aksante sana, hila mimi sitafuti wala sio kwamba namng'ang'ania anioe, hapana ni jambo limenikuta nikaona niwashirikishe na ninyi wenzangu, silazimishi kabisa kuolewa na huyu bwana na kupitia safu hii nimejifunza sana, ushauri wenu ni mzuri na nimefunguka macho sana maana unaweza kukaa na kitu moyoni peke yako kikakuumiza sana kama ambavyo mimi ninaumia na sasa nitajitahidi kumtoa akilini na kumwomba Mwenyezi Mungu anibariki kama ni wa kuolewa nitaolewa tu kwa ukweli silazimishi kabisa ndoa hila tu nilitaka maoni yenu wana jamii.


We omwana kamwe na chondechonde usifuate ya humu ukaenda kugombana na mwenzi wako ambaye mumeishi naye zaidi ya ten year kwa raha na kushiriki tendo la ndoa kwa amani na kuja hapa kusema umeanza kumtoa akilini.

Unaelimu gani kwanza wewe?kweli wewe ni mcha mungu au mpagani?unawezakuja hapa mtu amekutunzia mtoto wako wa kufikia kwa miaka kumi leo waja na hoja za kitoto kwa kudanganywa kuwa kula kona huyo hana mpango na wewe?

Shame on?

Kwa ni kuolewa nini au ndoa nini?yeye alishakuuliza huyo mwenye mtoto anyemtunza yuko wapi?kwa nini usijiulize kuwa yeye amegundua kwa wewe bado unamahusiano na huyo mzazi mwenza?mfano akikwambia kuwa ili nikuowe mpeleke huyo mtoto kwa baba yake utakuja hapa kusema kuwa nalivua pendo uliliea kwa miaka kumi.
Ndugu yangu dada yangu siyo kila usahauri ni wakufuata na ukiangalia sana kuna ushauri hapa unatolewa na akina dada au mama unajua tu kuwa huyu hata nyumba yake haikaliki kama ameolewa kwa hiyo kila wakati anatafuta wengine waliotulia nao waishi kama anavyoishi.
Chukua ushauri mzuri mbaya upige chini vinginevyo utapotea na huyo atakaekuja kwa gia ya kukuoa utamkoma wiki moja.

My take.Kuna mchangiaji mmoja amekushauri kwa kuwa huyo mumeo yupo Dar na wewe upo Mwanza anyway sijui unafnya kazi gani kama inweza pia kufanyia Dar kwa nini usiombe uhamisho ukaenda Dar ili pime hayo unayoysema kuwa atakupokea au atakupangia nyumba tofauti na hiyo unayofikia au lah.
Unataka ndoa ya namna gani?Ndoa kama ndoa au Selective Ndoa?Ya mkuu wa wilaya au ya Kanisani?kwa ya kanisani utatembea mpaka ukome kwa kuwa unamtoto wa mwanaume nyingine na hujatubu dhambi hiyo kwake.
 
wewe una mtoto wa form 3, yeye hana mke wala mtoto...!
je, hatamani kuwa na mtoto? kwa kipindi mnapokutana hamfanyi sex? au jamaa ana tatizo la uzazi anaipotezea?
 
I believe wewe ndo unataka kuwapotosha wanawake wenzako. Do you remember these words: marriage is the only war where you sleep with your enemy
Now i doubt if at all you would want your friend to enter marriage and sleep with an enemy wakati sasa hivi anakula shushu na amependwa kwa miaka mingi toka mtoto yuko primary anapendwa tu.

Unajua wanawake huwa ni adui wa wenzao na ndio maana hata female activists wengi ni wale ambao relationship ziliwashinda. (off topic but necessary here).

Thanks for your note.
Samahani kakaangu ID yako inanifanya nikuogope kidogo.
 
Harambee: Saidia wahanga wa mafuriko Tanzania; zaidi ya watanzania 1960, wamechangia!
Mzee Mwanakijiji
user_offline.gif
8th January 2010, 09:34 PM
Agenda for Action:

harambeeredcross.jpg


SIKILIZA MAHOJIANO NA TANZANIA RED CROSS:



SIKILIZA PRESS CONFERENCE:



SIKILIZA Mahojiano na Clouds FM:



%5Craismtandaotaalumajan13.jpg


Rais wa mtandao wa wanataaluma Tanzania(TPN), santus Mtsimbe, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam jana, kuhusu TPN kwa kushirikiana na jamii Forum kukusanya Sh 10 bilioni za kuwasaidia waathirika wa mafuriko nchini. Picha na Michael Jamson.

Source: http://www.mwananchi.co.tz/mwanaglob.asp

TPN, JamiiForums na Michuzi walipowasilisha michango ya awamu ya kwanza Tanzania Red Cross Januari 15, 2010.

i1424_maafafedha.jpg


i1422_mafurikomsaada1.jpg


i1423_mafurikomsaada12.jpg


Meya Kimbisa pichani akipokea misaada ya awali; Aliwashukuru wana-Mitandao na TPN kwa jitihada zao katika janga hili na kuomba wasiache kutoa ushirikiano pindi watakapohitajika! Misaada iliyokabidhiwa ni fedha taslimu TZS 1,068,000.00 na vifaa vyenye thamani ya Tshs 1,400,000/=


Kwa kushirikiana na tovuti za Jamiiforums na Mdau wa Jamii Bw. Issa Michuzi; pamoja na kushirikiana na Mtandao wa Wanaataluma wa Tanzania (TPN) tumeandaa mpango wa kuwashirikisha Watanzania mahali popote pale walipo kuchangia katika adha hii inayowakuta ndugu zetu katika mikoa mbalimbali hasa Morogoro, Dodoma, na sasa hivi Shinyanga na hata Mwanza na kuna uwezekano wa sehemu nyingine nchini kwa kadiri siku zinavyoendelea.

Tumeamua kutumia Chama cha Msalaba na Mwezi Mwekundu cha Tanzania kwani rekodi yao katika kufika na kutoa misaada wakati wa majanga hailinganishwi na chombo au taasisi nyingine yoyote. Zaidi ya yote tumepata uhakika wa kutosha wa misaada yetu kufika kwa walengwa baada ya kuzungumza na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mstahiki Meya (Dar) Adam Kimbisa (CCM).

Pata nakala ya mpango huo hapa:
http://www.box.net/shared/g99no7hjkg

Maelezo zaidi yanapatikana kwenye Programu ya Harambee!

Kuna tofauti kati ya kulalamika, kuhamasika na kutenda; Mwaka huu tunaenda kwenye kutenda. Hofu yangu ni kuwa yawezekana hatuko tofauti sana na jamii tunayotaka kuiongoza kuleta mabadiliko.

Nafahamu ni rahisi sana kwa wana JF kutupa lawama na kusikitika lakini ni vigumu mno kuamka na kutenda; lakini kuna wakati ambapo dhamira zituongoze kufanya vitu vizuri au tuombe misaada kwa Wamarekani utashangaa watakavyochangamka kutusaidia! Hili ni la kwetu na ningependa kuona ni jinsi gani sisi wenyewe tunaweza kufanya kitu.

Nimezungumza na Meya Kimbisa na nimepata baraka zake za kushirikiana na Red Cross TZ kwa ajili ya lengo hili. Tutawapa update baadaye leo tukishakamilisha modalities of what need to be done and by who and how. Silali leo.

=============================

JINSI YA KUCHANGIA:
Tumebuni njia mbalimbali za kuweza kuchangia vitu kama vyandarua, maboksi ya maji safi, nguo, madawa (ambayo hayajapita muda au kufunguliwa), mahitaji ya watoto na kina mama n.k.

A: MOJA KWA KWA MOJA KWA CHAMA CHA MSALABA MWEKUNDU
1. Peleka msaada wako moja kwa moja kwa Chama cha Msalaba Mwekundu kilicho karibu nawe. Kupata taarifa za Chama cha Msalaba Mwekundu wasiliana nao:
P.O. Box 1133
Dar es Salaam
Simu: (00255) (22) 215-0330/ 215-1839/215-0843 Email: logistics@raha.com

B: KUTUMIA MTANDAO WA WANATAALUMA WA TANZANIA (TPN).
Hivyo TPN itakusanya michango yetu kwa njia mbalimbali hapa chini na kuiwasilisha kwa TRCS na kutoa taarifa za mara kwa mara za maendeleo ya kampeni hii.

2. Kuingiza Benki au kuhamishia fedha benki(bank deposit and transfers):
· Jina la Akaunti: Tanzania Professionals Network,
· Jina la Benki: CRDB Bank ; Tawi: Lumumba
· Jiji: Dar Es Salaam; Nchi: Tanzania
· Swift Code: CORUTZ TZ
· US $ (Fedha za kigeni) A/C No: 02J1 007 608 900;
· TZS A/C No: 01J1 007 608 901

C: KUTUMIA MITANDAO YA SIMU
3. M-Pesa (Vodacom): 0768 777 888
4. Z-Pesa (Zantel): 0773 88 18 88
5. Zap (Zain) 0784 00 88 99

6. Michango ya kutumia makato ya kila siku ya Airtime za simu:
"Changia Shs 150 kwa siku kwa waathirika wa mafuriko. Tuma SMS yenye neno TPN kwenda 15522. Utakatwa Shs 250 kujisajili. Kwa maelezo zaidi wasiliana na 0715 740 047.

7. Western Union - Tuma kwa jina la: Mr. Emmanuel Mmari; TPN Finance and Administrative Manager; Dar Es Salaam; Tanzania. Tuma nakala ya MTCN kwa president@tpn.co.tz, info@jamiiforums.com na mwanakijiji@jamiiforums.com ili kuweka rekodi sahihi.

8: Michango ya vitu mbalimbali: Ofisi za TPN - Barabara ya Nyerere; Jengo la TOHS; Ghorofa ya kwanza, karibu na TBC (RTD) Radio. Piga simu 0715 740 047 kwa kupata msaada wa kuja kuchukua vitu kama huna usafiri.


M. M. Mwanakijiji

we una fujo kweli leo mkuu,jamaa kakuta ngoma iko used ndio maana analegalega kuchukua jumla.
 
ndege mmoja aliye mkononi ni bora kuliko ndege mia walio porini.

usilazimishe ndoa, hata ukifanikiwa inaweza kuwa ndio mwisho wa hayo mapenzi unayoyaona kwa sasa na hatimaye unaweza kuishia kujuta.

wanandoa wengi tu hawana furaha na waume zao kama uliyo nayo wewe kwa mpenzi wako, tena wengine wamtelekewa na watoto na hawapati msaada wa matumizi wala ada ya shule, engine kila kukicha wanaugulia maumivu ya nyumba ndogo na hata wengine wamelazimika kukubali kuishi na nyumba ndogo side by side, na zote hizo ni ndoa , tena baadhi ni za kikristo na zimefungwa makanisani!

shaurianeni kwa upole juu ya uzuri wa ndoa iliyokamilika na muendelee na furaha yenu mliyonayo na kusomesha mtoto wenu kwa amani.

usiache kumshukuru Mungu kwa upendo wa sasa na msaada anaokupa ktk kumlea na kumsomesha mtoto japo si wake na pengine labda anamthamini zaidi ya baba yake wa damu

Sifa na utukufu apewe Bwana.
 
ndege mmoja aliye mkononi ni bora kuliko ndege mia walio porini.

usilazimishe ndoa, hata ukifanikiwa inaweza kuwa ndio mwisho wa hayo mapenzi unayoyaona kwa sasa na hatimaye unaweza kuishia kujuta.

wanandoa wengi tu hawana furaha na waume zao kama uliyo nayo wewe kwa mpenzi wako, tena wengine wamtelekewa na watoto na hawapati msaada wa matumizi wala ada ya shule, engine kila kukicha wanaugulia maumivu ya nyumba ndogo na hata wengine wamelazimika kukubali kuishi na nyumba ndogo side by side, na zote hizo ni ndoa , tena baadhi ni za kikristo na zimefungwa makanisani!

Sifa na utukufu apewe Bwana.
Kwa kweli niko njia panda sielewi kabisaaaaaaaaaaa cha kufanya, maana nikifikiria maoni ya wengine naona labla ni kweli ananidanganya nikisoma haya yako naona kama ndio niko sawa sasa ngoja niendelee kumuomba Mwenyezi Mungu atanionyesha tu njia. Thank u very much. Be blessed.

shaurianeni kwa upole juu ya uzuri wa ndoa iliyokamilika na muendelee na furaha yenu mliyonayo na kusomesha mtoto wenu kwa amani.

usiache kumshukuru Mungu kwa upendo wa sasa na msaada anaokupa ktk kumlea na kumsomesha mtoto japo si wake na pengine labda anamthamini zaidi ya baba yake wa damu
 
Kwa kweli niko njia panda sielewi kabisaaaaaaaaaaa cha kufanya, maana nikifikiria maoni ya wengine naona labla ni kweli ananidanganya nikisoma haya yako naona kama ndio niko sawa sasa ngoja niendelee kumuomba Mwenyezi Mungu atanionyesha tu njia. Thank u very much. Be blessed

shukuruni kwa kila jambo, maana hayo ni mapenzi ya Mungu............. zidisha upole na upendo maana kwa hayo ataamini u-mke mwema na hatakuacha. wala usizidishe sana suala la ndoa usije ukamuudhi kwa hilo. na ujitahidi ufurahie maisha bila wasiwasi wa kutoolewa kwani tayari Mungu ameishapanga saa na siku ndoa yako itakapofungwa.
 
Back
Top Bottom