platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,366
- 11,155
- Thread starter
- #21
Senator p nikikwama kumsaidia kutokana na ushauri nilioupata hapa nitaku-pm uongee naye kwa simu lakini under my supervision Lol!!!Hv huu ugonjwa wa wanawake kutokusahau waliowatenda unanikera thana,ninaweza mshaur zaid na ufumbuz kwan uzowefu n nao.kwa uchache n hv,kwanza afute mawasiliano hta km kakalili namb ya yule jamaa,2.ajaribu kuwa busy na mpenz wake mpya,atasahau.Mengneyo wasiliana nami nkupe.
Last edited by a moderator: