nyadhiwa erokamano....
nilitaka kujua tu....ilinianzie vipi kutoa ushauri
ni ngumu kujua, lakini kwa haya machache utaju.
1 anapenda kukutazama hasa kwa kuibia, pia mkiwa pamoja anakuangalia machoni utaona macho yake.
2 kama ni marafiki au mko karibu, angalia mguso wake, atakushika mikono, bega, mkiwa kwenye public.
3 atapiga simu kila siku na pengine mara kadhaa kwa siku
4 atakuwa tayari kukusaidia pale upatapo shida
5 atapenda kwa nawe popote
6 atakuhadithia maisha yake ya zamani mabaya na mazuri pia.
na mengineyo mengi.
nyadhiwa erokamano....
nilitaka kujua tu....ilinianzie vipi kutoa ushauri
utajuaje kama mtu anakupenda?
utajuaje kama mtu anakupenda?
Khee Kheee Kheee ukimwambia I LOVE U akajibu I LOVE U TOO ujue huyo anakupenda
Kwi kwi kwi!
Unataka kupendwa? Anza wewe kupenda bana.....acha uvivu asee!
i love u too the finest.
ame lala naomba niichukue badala yake.....kama vipi edit jina lake mwisho hapo
ha ha ha! ngoja nikutumie yako bwana.