Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,411
Mapenzi ya sisi vijana wa millennial banaa..!!
Twende pamoja mwanaJF.
Yaani ni vile khadija anaumizwa na muddy, na yeye anaenda kumuumiza abdalah..!!
Unakuta Michael katendwa na Vailet,
Duh hasira na uchungu wote wa moyoni anaenda kuumiza na yeye Sarah wa watu..!!
Kwani ushasahau? Member mwenzetu zero iq aliumizwa na demu akiwa freelancer (fl).
Unajua nini kikatokea baadae?
""Anachakata sana papuchi za Dom""
Na alikili mwenyewe".....Niko hivi (mchakataji) kwasababu ya ule uchungu wa mapenzi nikiwa fl.!!""
Kuna jamaa angu mmoja aliniambia.....
""Mr. Liverpool mi huwa nina misemo yangu ya kujipa moyo kama, never give up & shit happens. Nimekua nikiitumia sanaa kwenye kupigania maslahi ya biashara zangu ila kwenye mapenzi nimeshindwa kuapply kabisaa..Moyo unauma nyeeeeh Mr. Liverpool.""
Watu husamehee wakitendewa na kutendwa kwenye mambo mengi ila kwenye mahaba...Wameshindwa samehe kabisa ni full kulipiza kisasi""
Kutokana na uchungu wa kuumizwa moyo kwenye mahaba, sasa hivi kuna...
1. Wanawake = wadangaji
2. Wanaume = piga/pita na kusepa
Unafikiri hawana moyo wa kupenda hawa?
Ni vile walitendwa na wameshindwa samehe, nafsi zao zinatafuta fursa za kulipiza visasi...
Mwana jf hebu jiulize...
"Huyo uliyenae ndio kafika au amepata mnyonge wake wakulipiza kisasi kwa machungu aliyosababishiwa huko aliko toka ndio anakulia tu timing akuumize?""
Mungu atuongoze.
#ASANTE
#YNWA
Twende pamoja mwanaJF.
Yaani ni vile khadija anaumizwa na muddy, na yeye anaenda kumuumiza abdalah..!!
Unakuta Michael katendwa na Vailet,
Duh hasira na uchungu wote wa moyoni anaenda kuumiza na yeye Sarah wa watu..!!
Kwani ushasahau? Member mwenzetu zero iq aliumizwa na demu akiwa freelancer (fl).
Unajua nini kikatokea baadae?
""Anachakata sana papuchi za Dom""
Na alikili mwenyewe".....Niko hivi (mchakataji) kwasababu ya ule uchungu wa mapenzi nikiwa fl.!!""
Kuna jamaa angu mmoja aliniambia.....
""Mr. Liverpool mi huwa nina misemo yangu ya kujipa moyo kama, never give up & shit happens. Nimekua nikiitumia sanaa kwenye kupigania maslahi ya biashara zangu ila kwenye mapenzi nimeshindwa kuapply kabisaa..Moyo unauma nyeeeeh Mr. Liverpool.""
Watu husamehee wakitendewa na kutendwa kwenye mambo mengi ila kwenye mahaba...Wameshindwa samehe kabisa ni full kulipiza kisasi""
Kutokana na uchungu wa kuumizwa moyo kwenye mahaba, sasa hivi kuna...
1. Wanawake = wadangaji
2. Wanaume = piga/pita na kusepa
Unafikiri hawana moyo wa kupenda hawa?
Ni vile walitendwa na wameshindwa samehe, nafsi zao zinatafuta fursa za kulipiza visasi...
Mwana jf hebu jiulize...
"Huyo uliyenae ndio kafika au amepata mnyonge wake wakulipiza kisasi kwa machungu aliyosababishiwa huko aliko toka ndio anakulia tu timing akuumize?""
Mungu atuongoze.
#ASANTE
#YNWA