Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Hapo unapepewa halaf unaimbiwa tarabu heheeh pwani raha jamani
Ni kweli, kuna raha zake! Bt usisahau na kuibiwa kisayansijadi kunahusika, hujasikia kidume kilipelekwa bafuni kimebebwa mgongoni , bafuni kumeandaliwa kigoda na kisosi, kidume kikaketishwa kigodani, kisha kisosi kikatumika kuwekea kende (hizo parachichi mbili kisosini ndo zikaanza kuogeshwa)
mara katiwa ulimi wa sikio ! weee! Kesho yake si alipeleka hati ya banga!
Mchezo tupa kulee!