Habari zenu wadau, nimejikuta nipo kwenye wimbi la mawazo nashindwa hata kuchagua niingie upande upi kati ya kupenda na kupendwa.
Kuna mabinti wawili wote wana umri kati ya miaka 24 -28, wote wanashepu matata, shida ni kwamba mmoja wao ananipenda sana yani karibu kila siku mara nyingi anapenda kunitumia meseji za salamu na mapenzi, huyo binti mwengine ni tofauti yaani nisipomtumia sms atapiga kavu hata wiki nzima ila nampenda sana maana inaniumiza yeye kupiga kimya ama kujibu sms kwa kifupi tu . Natamani huyu anaenishobokea awe huyo mwengine ninaemshobokea... Nipo njia panda nikubali tu niwe na anaenipenda ama nijipendekeze kwa ninaempenda?
Kuna mabinti wawili wote wana umri kati ya miaka 24 -28, wote wanashepu matata, shida ni kwamba mmoja wao ananipenda sana yani karibu kila siku mara nyingi anapenda kunitumia meseji za salamu na mapenzi, huyo binti mwengine ni tofauti yaani nisipomtumia sms atapiga kavu hata wiki nzima ila nampenda sana maana inaniumiza yeye kupiga kimya ama kujibu sms kwa kifupi tu . Natamani huyu anaenishobokea awe huyo mwengine ninaemshobokea... Nipo njia panda nikubali tu niwe na anaenipenda ama nijipendekeze kwa ninaempenda?