Mapenzi na ukabila....

Dr Lizzy

Platinum Member
May 25, 2009
30,810
59,359
Hivi kuna mtu yeyote anaeweza kujitosa hapa akasema na kuthibitisha kwamba kwenye UKOO wake wote hamna wezi..wadada wanaojiuza... wadada warahisi kupatikana...watu wakorofi...wavivu...wambea...wasiojua mapenzi..wanaojali/kupenda pesa (as if hao wapondaji wenyewe hawapendi) ...wahuni ...matapeli...wenye viburi...wenye dharau... wenye sura na mumbo unayoona wewe ni mabaya...wabahili...wachoyo...wanaopenda/oa/olewa kwa pesa n.k achilia mbali kwenye KABILA lake?!Kama wapo ningependa kuwajua ili na sie tusioisha kusemwa kila siku tujifunze toka kwao.

Ukweli na kwamba tabia ya mtu haitakiwi kuwa defined na wapi alipotoka (hata familia yake) bali na vile alivyo.Stereotypes hua zipo kwaajili ya wale waliotofauti na wanaokua stereotyped...kuwasaidia wale wa nje kuwalebel wenzao vibaya ili wao wajione/hisi kwamba ni bora hata kama sio kweli.Ndio maana hata wazungu (sio wote) bado wanatuona Waafrika kama wanyama..wanaamini hatuna akili japo wapo waaAfrika wenye akili kuliko wazungu wengi tu.Ila hili wazo linawafanya wao wajione wako juu.Kama ambavyo sisi wenyewe tunafanyiana kwanzia nchi na nchi..mkoa na mkoa...kabila na kabila..ukoo na ukoo na hata familia hii na ile.Kwenye swala zima la mapenzi naamini kabisa kwamba kabila haiplay role yoyote...kwahiyo achaneni na habari za sijui kabila hili hivi na lile lile.Kama unamjua mtu personally unaweza kumjudge yeye kwa vile unavyomjua na sio zaidi ya hapo.Pili....kama wewe hukupata experience nzuri na mtu wa sehemu fulani haina maana itakua hivyo hivyo kwa wengine wote.Ndio maana hata mwanamke /mwanaume unayemuona wewe kwamba hafai bado anakutana na mtu mwingine na anapendwa utadhani yeye ndio kila kitu.Kwahiyo waache wenzio nao wapate experience zao....kama wewe hukufanikiwa mwache mwingine nae ajaribu bahati yake.

Nasema yote haya maana hili swala la kuchambua makabila ya watu humu limezidi na linaboa kwakweli.Sijali kama ni langu au la mtu mwingine....ishu ni kwamba inachosha!!Mbaya zaidi ni kwamba yote mnayosema yanaweza kufanywa na yeyote hata anaetoka nchi nyingine achilia mbali wa kabila tofauti!

Alafu hivi hamchoki maana pamoja na sifa zote za ajabu ajabu mnazoyarushia haya makabila bado wadada wake wanaolewa SANA na wakaka wake wanaoa SANA ndani na nje ya makabila yao.Bado tu hamjagundua kwamba haisaiidii muachane nayo?!Maana kama ingekua inasaidia for the past few years usingesikia watu wa haya makabila wameoa wala kuolewa!

Mwisho...kama umempenda mtu na tabia yake inaendana na wewe upendavyo endelea nae...kama makabila ni muhimu sana tafuta wakwenu ili tabia zenu zifanane badala ya kuanza kuchambua ya wengine visivyo.Mapenzi kila mtu anaweza akayajua na kila mtu anaweza asiyajue...yote inategemea wawili wapendanao wanavyoyachukulia.
 
vipi kuhusu wale wanaodhani wako juu kumbe hamnazo tena hawavutii na ni vingulu-bange?? tuwahusishe na makabila yao pia?
 
Ahsante sana Lizzy kwa kulisemea hili. Laiti hili bandiko lingewekwa kwenye notice board kubwa ili watu wengi walione!!

Kama ingekuwa enzi zetu na viboko shuleni, watu wanaondekeza hizi mambo walitakiwa kuchanwa njiti (kuchapwa viboko)....Mara nyingi naishia kusoma hayo mambo yao na kubaki mdomo wazi..

Labda siku moja wataekewa kuwa wamepotoka!
 
Lizzy labda wewe watakusikiliza,mi nshakemea nimechoka.Stereotyping/bashing ni udhalilishaji mtupu na hauna maana yoyote. Mimi nimeamua yangu macho tu nisije tukana mtu bure wakati hata simjui maana huenda akawa mkwe!
 
Hivi kuna mtu yeyote anaeweza kujitosa hapa akasema na kuthibitisha kwamba kwenye UKOO wake wote hamna wezi..wadada wanaojiuza... wadada warahisi kupatikana...watu wakorofi...wavivu...wambea...wasiojua mapenzi..wanaojali/kupenda pesa (as if hao wapondaji wenyewe hawapendi) ...wahuni ...matapeli...wenye viburi...wenye dharau... wenye sura na mumbo unayoona wewe ni mabaya...wabahili...wachoyo...wanaopenda/oa/olewa kwa pesa n.k achilia mbali kwenye KABILA lake?!Kama wapo ningependa kuwajua ili na sie tusioisha kusemwa kila siku tujifunze toka kwao.

Ukweli na kwamba tabia ya mtu haitakiwi kuwa defined na wapi alipotoka (hata familia yake) bali na vile alivyo.Stereotypes hua zipo kwaajili ya wale waliotofauti na wanaokua stereotyped...kuwasaidia wale wa nje kuwalebel wenzao vibaya ili wao wajione/hisi kwamba ni bora hata kama sio kweli.Ndio maana hata wazungu (sio wote) bado wanatuona Waafrika kama wanyama..wanaamini hatuna akili japo wapo waaAfrika wenye akili kuliko wazungu wengi tu.Ila hili wazo linawafanya wao wajione wako juu.Kama ambavyo sisi wenyewe tunafanyiana kwanzia nchi na nchi..mkoa na mkoa...kabila na kabila..ukoo na ukoo na hata familia hii na ile.Kwenye swala zima la mapenzi naamini kabisa kwamba kabila haiplay role yoyote...kwahiyo achaneni na habari za sijui kabila hili hivi na lile lile.Kama unamjua mtu personally unaweza kumjudge yeye kwa vile unavyomjua na sio zaidi ya hapo.Pili....kama wewe hukupata experience nzuri na mtu wa sehemu fulani haina maana itakua hivyo hivyo kwa wengine wote.Ndio maana hata mwanamke /mwanaume unayemuona wewe kwamba hafai bado anakutana na mtu mwingine na anapendwa utadhani yeye ndio kila kitu.Kwahiyo waache wenzio nao wapate experience zao....kama wewe hukufanikiwa mwache mwingine nae ajaribu bahati yake.

Nasema yote haya maana hili swala la kuchambua makabila ya watu humu limezidi na linaboa kwakweli.Sijali kama ni langu au la mtu mwingine....ishu ni kwamba inachosha!!Mbaya zaidi ni kwamba yote mnayosema yanaweza kufanywa na yeyote hata anaetoka nchi nyingine achilia mbali wa kabila tofauti!

Alafu hivi hamchoki maana pamoja na sifa zote za ajabu ajabu mnazoyarushia haya makabila bado wadada wake wanaolewa SANA na wakaka wake wanaoa SANA ndani na nje ya makabila yao.Bado tu hamjagundua kwamba haisaiidii muachane nayo?!Maana kama ingekua inasaidia for the past few years usingesikia watu wa haya makabila wameoa wala kuolewa!

Mwisho...kama umempenda mtu na tabia yake inaendana na wewe upendavyo endelea nae...kama makabila ni muhimu sana tafuta wakwenu ili tabia zenu zifanane badala ya kuanza kuchambua ya wengine visivyo.Mapenzi kila mtu anaweza akayajua na kila mtu anaweza asiyajue...yote inategemea wawili wapendanao wanavyoyachukulia.

...lol...Lizzy asante mdada,...almanusura wangelitaja na langu hapa, walishamaliza kanda ya kaskazini, nyanda za juu kusini, kanda ya kati...wakawa wanaelekea huko mwisho wa reli! Ila, kiukweli pamoja na kulichukia hili, bado ukabila una sehemu kubwa kwenye mahusiano, hasa tunapokwenda tambulisha wachumba makwetu.

Halikwepeki hili.
 
Mbu halikwepeki ila kisiwe kigezo cha kudetermine mapenzi au mahusiano. Na by the way ile ya kucaregorize kuwa watu wa kigoma ni wapenda nanihii au wa rukwa nao ni wapenzi wa njia ya giza au wachagga ni wezi au magogo au wauwaji wa waume au wazaramo wacheza ngoma haitakiwi kuwepo. Maana sio kuwa kwa mmoja ashawahi kufanya hivzo basi wote ni wa hivyo na hawafai kuoa. Kila mmoja ana mapungufu yake na huwezi pata mtu mmoja ambaye ni perfect asilimia mia.
 
Aaaaaaaaaaaarrrrrrqqgggggghhhhhhh.........!!!!!! Kwakweli hii tabia inakera sana tena saaanaaaaaaaa. Cha kushangaza thread zenyewe nyingi ni wanawake tu. Ooooh mara wanawake wa kabila hili, wanawake wa kabila lile, ooooh sijui nini nini.......plus ma brah brah brah brah kibaoooo as if wao ni wasafi sana ebbo!
 
Mwembe wenye matunda ndo hurushiwa mawe!
Hizo mada za makabila haziwezi isha humu!
Tena mda sio mrefu utaona thread ya kabila humu
 
Hivi kuna mtu yeyote anaeweza kujitosa hapa akasema na kuthibitisha kwamba kwenye UKOO wake wote hamna wezi..wadada wanaojiuza... wadada warahisi kupatikana...watu wakorofi...wavivu...wambea...wasiojua mapenzi..wanaojali/kupenda pesa (as if hao wapondaji wenyewe hawapendi) ...wahuni ...matapeli...wenye viburi...wenye dharau... wenye sura na mumbo unayoona wewe ni mabaya...wabahili...wachoyo...wanaopenda/oa/olewa kwa pesa n.k achilia mbali kwenye KABILA lake?!Kama wapo ningependa kuwajua ili na sie tusioisha kusemwa kila siku tujifunze toka kwao.

Ukweli na kwamba tabia ya mtu haitakiwi kuwa defined na wapi alipotoka (hata familia yake) bali na vile alivyo.Stereotypes hua zipo kwaajili ya wale waliotofauti na wanaokua stereotyped...kuwasaidia wale wa nje kuwalebel wenzao vibaya ili wao wajione/hisi kwamba ni bora hata kama sio kweli.Ndio maana hata wazungu (sio wote) bado wanatuona Waafrika kama wanyama..wanaamini hatuna akili japo wapo waaAfrika wenye akili kuliko wazungu wengi tu.Ila hili wazo linawafanya wao wajione wako juu.Kama ambavyo sisi wenyewe tunafanyiana kwanzia nchi na nchi..mkoa na mkoa...kabila na kabila..ukoo na ukoo na hata familia hii na ile.Kwenye swala zima la mapenzi naamini kabisa kwamba kabila haiplay role yoyote...kwahiyo achaneni na habari za sijui kabila hili hivi na lile lile.Kama unamjua mtu personally unaweza kumjudge yeye kwa vile unavyomjua na sio zaidi ya hapo.Pili....kama wewe hukupata experience nzuri na mtu wa sehemu fulani haina maana itakua hivyo hivyo kwa wengine wote.Ndio maana hata mwanamke /mwanaume unayemuona wewe kwamba hafai bado anakutana na mtu mwingine na anapendwa utadhani yeye ndio kila kitu.Kwahiyo waache wenzio nao wapate experience zao....kama wewe hukufanikiwa mwache mwingine nae ajaribu bahati yake.

Nasema yote haya maana hili swala la kuchambua makabila ya watu humu limezidi na linaboa kwakweli.Sijali kama ni langu au la mtu mwingine....ishu ni kwamba inachosha!!Mbaya zaidi ni kwamba yote mnayosema yanaweza kufanywa na yeyote hata anaetoka nchi nyingine achilia mbali wa kabila tofauti!

Alafu hivi hamchoki maana pamoja na sifa zote za ajabu ajabu mnazoyarushia haya makabila bado wadada wake wanaolewa SANA na wakaka wake wanaoa SANA ndani na nje ya makabila yao.Bado tu hamjagundua kwamba haisaiidii muachane nayo?!Maana kama ingekua inasaidia for the past few years usingesikia watu wa haya makabila wameoa wala kuolewa!

Mwisho...kama umempenda mtu na tabia yake inaendana na wewe upendavyo endelea nae...kama makabila ni muhimu sana tafuta wakwenu ili tabia zenu zifanane badala ya kuanza kuchambua ya wengine visivyo.Mapenzi kila mtu anaweza akayajua na kila mtu anaweza asiyajue...yote inategemea wawili wapendanao wanavyoyachukulia.
umemaiza yote! tena kwa kukazia na kuonyesha wazi kabisa umechukia kabisa na usingependa madharau ya aina yoyote. nimekupata bibie
 
mamkwe umenenea.........tatizo linabaki kwa wazazi/walezi na mawazo yale ya enzi zile.....wanasahau tabia ni ya mtu sio kikundi cha mtu....hayo ya magogo labda ilikuwa zamani sio waleo ......au wanaua waume kwa ajili ya mali wangapi wanafanya hayo na ukiwauliza watoka wapi utapata majibu tofauti......kilichopo jamii kubadilika hasa wenye mitazamo hasi
mamkwe usinibanie bana nipo fit kila idara:heh:
 
vipi kuhusu wale wanaodhani wako juu kumbe hamnazo tena hawavutii na ni vingulu-bange?? tuwahusishe na makabila yao pia?

Duh...kwanini tabia binafsi ya mtu ihusishwe na tabia yake kama kabila lake lote haliko hivyo?Alafu pia mtu kujiona yuko juu kama haihusiani na yeye kudharau wengine kuna tatizo gani?Mwache tu ajione ipo siku atagundua kwamba wapo walipo juu yake!!

Ahsante sana Lizzy kwa kulisemea hili. Laiti hili bandiko lingewekwa kwenye notice board kubwa ili watu wengi walione!!

Kama ingekuwa enzi zetu na viboko shuleni, watu wanaondekeza hizi mambo walitakiwa kuchanwa njiti (kuchapwa viboko)....Mara nyingi naishia kusoma hayo mambo yao na kubaki mdomo wazi..

Labda siku moja wataekewa kuwa wamepotoka!

Mzee DC kwakweli inachosha na kushangaza kwa wakati mmoja.Yani hamna limit ya vitu ambavyo watu wanaandika hapa bila kufikiria ubaya na chuki wanazojaribu kusambaza.Natamani kweli hilo la kuwatembezea hawa watu mboko lingekua linawezekana!!

Lizzy labda wewe watakusikiliza,mi nshakemea nimechoka.Stereotyping/bashing ni udhalilishaji mtupu na hauna maana yoyote. Mimi nimeamua yangu macho tu nisije tukana mtu bure wakati hata simjui maana huenda akawa mkwe!

Bishanga nafurahi kwamba umejiamulia kukaa kimya badala ya kubishana na hawa watu maana unaweza jikuta unakasirika bure.
 

...lol...Lizzy asante mdada,...almanusura wangelitaja na langu hapa, walishamaliza kanda ya kaskazini, nyanda za juu kusini, kanda ya kati...wakawa wanaelekea huko mwisho wa reli! Ila, kiukweli pamoja na kulichukia hili, bado ukabila una sehemu kubwa kwenye mahusiano, hasa tunapokwenda tambulisha wachumba makwetu.

Halikwepeki hili.

MBU siwezi kukataa kwamba haijalishi maana kuna watu hata rangi ya ngozi tu inaweza kuwa tatizo kwenye mapenzi yao kwahiyo hamna cha ajabu hapo.Ila sasa isiwe njia ya kusakama wengine siku nenda siku rudi kama vile hizo tabia wanazo wao tu!!

Aaaaaaaaaaaarrrrrrqqgggggghhhhhhh.........!!!!!! Kwakweli hii tabia inakera sana tena saaanaaaaaaaa. Cha kushangaza thread zenyewe nyingi ni wanawake tu. Ooooh mara wanawake wa kabila hili, wanawake wa kabila lile, ooooh sijui nini nini.......plus ma brah brah brah brah kibaoooo as if wao ni wasafi sana ebbo!

KiSWEET hujakosea ...yani full blah blah!!

mamkwe umenenea.........tatizo linabaki kwa wazazi/walezi na mawazo yale ya enzi zile.....wanasahau tabia ni ya mtu sio kikundi cha mtu....hayo ya magogo labda ilikuwa zamani sio waleo ......au wanaua waume kwa ajili ya mali wangapi wanafanya hayo na ukiwauliza watoka wapi utapata majibu tofauti......kilichopo jamii kubadilika hasa wenye mitazamo hasi
mamkwe usinibanie bana nipo fit kila idara:heh:

Mkwe hawa watu sijui ni kwamba macho na masikio yao hua yanafungwa hayo mambo yakiwahusu watu wasio wa haya makabila maarufu kwa kuchanwa maana ni kama wanaamini kabisa kwamba kwenye haya makabila tu ndo kuna hizi tabia.
 
Duh ni mbaya ila halikwepeki kabisa, nahisi lingeanzia somo kwa wazazi wetu kwanza , maana wao ndio wanaotujaza hii kitu mu kichwa zetu
 
Thanks Lizzy..umemaliza mzizi wa fitina....kama mdau alivyosema hapo juu..inabidi hii topic tui-pin!

Mimi binafsi hili suala limekuwa linanikera sana kulinganisha mapenzi na makabila. Sasa siye tuliopendana na wahindi inakuwa issue kweli kweli kufanya wakubalike kule nyanda za juu...muda mwingi tunapoteza kuwa mameneja uhusiano kuweka mambo sawa..

Anyway, Mimi msimamo wangu unabaki kuwa mapenzi, mahusiano hayana demokrasia. Ni vizuri tukaheshimiana kama ndugu na ukoo lakini huwezi kunipangia niishi na nani..
 

...lol...Lizzy asante mdada,...almanusura wangelitaja na langu hapa, walishamaliza kanda ya kaskazini, nyanda za juu kusini, kanda ya kati...wakawa wanaelekea huko mwisho wa reli! Ila, kiukweli pamoja na kulichukia hili, bado ukabila una sehemu kubwa kwenye mahusiano, hasa tunapokwenda tambulisha wachumba makwetu.

Halikwepeki hili.
Ni kweli utani haukwepeki ktk jamii ya kitz..hili limeanza tangu mababu..ktk utani utasikia ukweli,chumvi na pumba..utani ulitumiwa kupeleka msg au kuchekeshana tu..hakuna kabila lisilo kasoro alizozitaja lizzy hapo juu..lizzy bwana harusi anaambiwa 'usiende mlisha bint yetu mbwa, tena ukumbini'..ni utani tu tembeeni..hata huko kaskazini wenyewe kwa wenyewe wanataniana/pigana vidongo eg,chagga vs pare/gogo...na kuna vijembe btn chaggas(m'chame,k'bosho,huru,old moshi,m'rangu&rombo)..ni utani tu usiokuwa na ukweli wa moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom