Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na hii anonymous confession ya Mwanamke anaesema kuwa kaolewa akiwa na miaka 20's lakini kashakutana kimwili na wanaume zaidi ya 50.
Huyo bidada anasema kuwa hiyo ni normal kabisa, yani ni kawaida kwa Mwanamke kukutana kimwili na wanaume idadi hiyo au zaidi.
Huyo Mwanamke ameshaweka hiyo siri kwenye maisha yake na Mwanaume hajui, na unaweza kukuta jamaa kagharamika kwelikweli kutoa mahali kubwa n.k kumbe Mwanamke aliemuweka ndani ni Malaya aliekubuhu.
USHAURI
Wanaume tusisahua jukumu letu la kuchunguza wenza wetu kabla ya ndoa, maana matatizo mengi yanatokea kwenye ndoa kwasababu ya kupuuzia KUCHUNGUZANA.
Huyo bidada anasema kuwa hiyo ni normal kabisa, yani ni kawaida kwa Mwanamke kukutana kimwili na wanaume idadi hiyo au zaidi.
Huyo Mwanamke ameshaweka hiyo siri kwenye maisha yake na Mwanaume hajui, na unaweza kukuta jamaa kagharamika kwelikweli kutoa mahali kubwa n.k kumbe Mwanamke aliemuweka ndani ni Malaya aliekubuhu.
USHAURI
Wanaume tusisahua jukumu letu la kuchunguza wenza wetu kabla ya ndoa, maana matatizo mengi yanatokea kwenye ndoa kwasababu ya kupuuzia KUCHUNGUZANA.