The Kop JF-Expert Member Aug 7, 2010 209 92 Dec 2, 2011 #1 nimekuwa nawauliza watu ili swali lakini sipati majibu ya kuridhisha, ninyi wana MMU mnafikirije....?
nimekuwa nawauliza watu ili swali lakini sipati majibu ya kuridhisha, ninyi wana MMU mnafikirije....?
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,883 155,856 Dec 2, 2011 #2 kaulize kwenye jukwaa la dini ambako AMRI KUU NI UPENDO
Mwali JF-Expert Member Nov 9, 2011 7,014 5,610 Dec 2, 2011 #3 Swali lako halijakaa wazi... Nadhani ni hisia ila unaweza kuchagua kuipotezea au kuiendekeza.
Soraya JF-Expert Member Oct 29, 2011 202 65 Dec 2, 2011 #4 The Kop said: nimekuwa nawauliza watu ili swali lakini sipati majibu ya kuridhisha, ninyi wana MMU mnafikirije....? Click to expand... Swali zuri sana. Mi nadhani mapenzi ni hisia,ingawa kwa dunia ya sasa inazidi kushuka kama kigezo cha kuwa kwenye mapenzi. Watu wanafuata kuchagua zaidi na hasa kigezo cha uchumi kinapokuja.
The Kop said: nimekuwa nawauliza watu ili swali lakini sipati majibu ya kuridhisha, ninyi wana MMU mnafikirije....? Click to expand... Swali zuri sana. Mi nadhani mapenzi ni hisia,ingawa kwa dunia ya sasa inazidi kushuka kama kigezo cha kuwa kwenye mapenzi. Watu wanafuata kuchagua zaidi na hasa kigezo cha uchumi kinapokuja.
HorsePower JF-Expert Member Aug 22, 2008 3,612 2,566 Dec 2, 2011 #6 Ni hisia mkuu, na pia hutoka moyoni. Huwezi kuchagua mapenzi, maana hayo si maembe au machungwa!!! Na ukiforce kuchagua, baadaye utaishia nyumba ndogo
Ni hisia mkuu, na pia hutoka moyoni. Huwezi kuchagua mapenzi, maana hayo si maembe au machungwa!!! Na ukiforce kuchagua, baadaye utaishia nyumba ndogo