kitu kinacho itwa Mapenzi hakina ushauri..
Mapenzi ni hisia ya mtu ya ndani nahuongozwa na fikra za mtu binafsi,ukipatwa na tatizo
la mapenzi usipende kuomba ushauri wakati ushahamua maamuzi yako binafsi unakuwa unatakakujua
maamuz uliochukua kama uko sahihi au la! unakuwa hujiamini kwasababu huamini hisia na fikra zako
utagombana na watu ambao watakushauri tofauti na hisia zako zinavyokutuma au na danganya!?Mapenzi hayana ushauri yanaongozwa na HISIA.
Mapenzi ni hisia ya mtu ya ndani nahuongozwa na fikra za mtu binafsi,ukipatwa na tatizo
la mapenzi usipende kuomba ushauri wakati ushahamua maamuzi yako binafsi unakuwa unatakakujua
maamuz uliochukua kama uko sahihi au la! unakuwa hujiamini kwasababu huamini hisia na fikra zako
utagombana na watu ambao watakushauri tofauti na hisia zako zinavyokutuma au na danganya!?Mapenzi hayana ushauri yanaongozwa na HISIA.