The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Yanausumbua na kutesa moyo wangu kila kukicha,NIMPENDAYE CMUONI, nasema mapenzi na mimi basi tena BASI!
Glenn Lewis- Fall Again - YouTubeBhavick.... Pole, hio ni phase tu, hopefully utampata soon.
It's not the end of the road for him definitely he will come across someone ambaye watapendana hapo ndipo atakapoona another side of LOVENaona kweli weekend imechukua mkondo wake.....lol... Love songs kwenda mbele... I hope zitamfariji Bhavick...
Yanausumbua na kutesa moyo wangu kila kukicha,NIMPENDAYE CMUONI, nasema mapenzi na mimi basi tena BASI!
nilikuwa na huyu niliyempenda toka niko kidato cha pili yeye darasa la saba,mwaka 1998,mwaka jana,baada ya mimi kuamishwa kikazi matatizo yakaanza,nikaacha kazi,ili nije kuwa karibu yake lakini wapi!hivi ninavyoandika ana mwezi kwenye ndoa yake,kama nna tatizo tungekuwa pamoja kwa muda wa miaka yote hiyo?Nina rafiki yangu alikimbiwa na lady kwa sababu alikuwa an smell sana. Sasa unakuta wanawake wakawa wanashindwa kumwambia hivyo wakawa wanasepa during dating period na mara chache wanapokutana kimwili mara moja au 2. Ila kuna mmoja alipommwaga akamwambia kwa simu kuwa you smell bad ndo maana alimuacha.
Sasa mkuu jiangalie unaweza ukawa na kasoro usiyoijua ndo maana unamwagwa. Pengine ni dhaifu kunako sita kwa sita huwezu jua..............
Jichunguze chukua hatua mkuu
nkamu gwangu,jikubaba.Usikate tamaa namna hiyo
kidogo zinaniriwaza lakini........Naona kweli weekend imechukua mkondo wake.....lol... Love songs kwenda mbele... I hope zitamfariji Bhavick...
nilikuwa na huyu niliyempenda toka niko kidato cha pili yeye darasa la saba,mwaka 1998,mwaka jana,baada ya mimi kuamishwa kikazi matatizo yakaanza,nikaacha kazi,ili nije kuwa karibu yake lakini wapi!hivi ninavyoandika ana mwezi kwenye ndoa yake,kama nna tatizo tungekuwa pamoja kwa muda wa miaka yote hiyo?