Maono: Freeman Mbowe na miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika. Mtashangaa!

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
57,189
95,216
Mwaka huu Tanganyika inaazimisha miaka 60 tangu kupata uhuru wake, wapo wanaoawaaminisha wajinga wenzao wasiojuwa historia kwamba ni siku ya Uhuru wa Tanzania bara.

Ni kwamba Tanzania haijawahi kutawaliwa.

Back to the topic Freeman Mbowe ambaye amezaliwa mwaka 1961 mwaka wa Uhuru na Baba wa Taifa kuwa ndio Baba yake wa ubatizo maono ya kiroho yanasema hivi.

Siku ya maazimisho ya Tanganyika kutimiza miaka 60 ya kuwa huru yani Freedom, nawahakikishia ndugu Freeman Mbowe atakuwa free na atakuwepo uwanja wa Uhuru/ uwanja wa Taifa kwenye kuazimisha na kusherehekea miaka 60 ya Uhuru na Ndugu Freeman Mbowe pia ana miaka 60 na alizaliwa mwaka 1961 mwaka ambao Tanganyika ilipata Uhuru wake.

Hili halihitaji ramli wala nini haya ni maono kutoka kwa Mungu, mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie.

Save this thread for future generations, JF be the first to know.

Mohamed Said, paskal Mayalla, Mzee Mwanakijiji, EMT, Pdidy , jmushi1, Nguruvi3, BAK, Ngongo, Zitto, gfsonwin, Mshana Jr
 
Siku ya uhuru wa tanganyika gaidi mbowe anakula mvua tu

USSR
Thread iko juu ya ur thinking capacity na watu wanaoongea na Mungu.

Common sense is not common to everyone especially midiocarces like you.

Stay away, Mungu atakuchapa huenda usiione siku hiyo kama malaika wenu wa kuzimu Mungu alivyomkatalia asione siku hiyo.

Freeman Mbowe atakuwepo Uhuru stadium kwenye sherehe za miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika.
 
Thread iko juu ya ur thinking capacity na watu wanaoongea na Mungu.

Common sense is not common to everyone especially midiocarces like you.

Stay away, Mungu atakuchapa huenda usiione siku hiyo kama malaika wenu wa kuzimu Mungu alivyomkatalia asione siku hiyo.

Freeman Mbowe atakuwepo Uhuru stadium kwenye sherehe za miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika.
Gaidi hawezi kuongea na Mungu
 
Mwaka huu Tanganyika inaazimisha miaka 60 tangu kupata uhuru wake, wapo wanaoawaaminisha wajinga wenzao wasiojuwa historia kwamba ni siku ya Uhuru wa Tanzania bara...
Maadhimisho siyo maazimisho ndugu yangu
 
Hili halihitaji ramli wala nini haya ni maono kutoka kwa Mungu, mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie.
Kwa hiyo "maono" hapa ni yapi?

Mbowe kuwepo uwanja wa taifa siku ya maadhimisho, haya ndiyo maono?

Mtu anadhalilishwa, ananyimwa haki zake kwa uonevu tu, kwa kuleweshwa na madaraka, halafu watu hao hao wageuke na kujifanya ni watenda mema ili kuhadaa watu juu ya uovu wao? Halafu katika akili zako finyu unadhani Mbowe naye hazimtoshi kiasi hicho?

Sijui kwa nini leo nina bahati mbaya sana ya kukutana nawe ndani ya jukwaa hili!
 
Mwaka huu Tanganyika inaazimisha miaka 60 tangu kupata uhuru wake, wapo wanaoawaaminisha wajinga wenzao wasiojuwa historia kwamba ni siku ya Uhuru wa Tanzania bara...
Nilidhani shehe Yahya Hussein alikufa na wasaidizi wake.

Kumbe nilikuwa najidanganya bado wapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom