Wana jamvi,
Niseme tu kwamba ninayo yasema hapa ni maoni yangu binafsi naweza kusahihishwa au la, ni kwamba Paul Makonda anaingia kugombea kwenye Jimbo ambalo alikuwepo Aliye wahi kuwa Naibu Waziri wa Afya, je huyo Waziri mstaafu hagombei tena kwa jimbo hilo?
Makonda kuonekana kugmbea huko sidhani kama kuna uwezekano wa kukatwa ila Waziri mstaafu ndiye anaweza akakatwa.
Kugombea kwa Paul Makonda kuna weza kunipa dira kuwa anaweza akapita na kuhakikisha anakuwa mbunge ili apewe u spika katika Bunge la Jamhuri yote haya anayatafuta ili na yeye apewe kinga ya kutoshtakiwa endapo kuna madudu na mambo mengine aliwahi kuyafanya akiwa Mkuu wa Mkoa maana wote hawa wakuu wa mihimili tayari wana kinga ya kutoshtakiwa.
Sasa hapa ndio panakuwa pagumu maana kwa lazima anaweza akahakikisha anapita ili apewe kinga.
Niseme tu kwamba ninayo yasema hapa ni maoni yangu binafsi naweza kusahihishwa au la, ni kwamba Paul Makonda anaingia kugombea kwenye Jimbo ambalo alikuwepo Aliye wahi kuwa Naibu Waziri wa Afya, je huyo Waziri mstaafu hagombei tena kwa jimbo hilo?
Makonda kuonekana kugmbea huko sidhani kama kuna uwezekano wa kukatwa ila Waziri mstaafu ndiye anaweza akakatwa.
Kugombea kwa Paul Makonda kuna weza kunipa dira kuwa anaweza akapita na kuhakikisha anakuwa mbunge ili apewe u spika katika Bunge la Jamhuri yote haya anayatafuta ili na yeye apewe kinga ya kutoshtakiwa endapo kuna madudu na mambo mengine aliwahi kuyafanya akiwa Mkuu wa Mkoa maana wote hawa wakuu wa mihimili tayari wana kinga ya kutoshtakiwa.
Sasa hapa ndio panakuwa pagumu maana kwa lazima anaweza akahakikisha anapita ili apewe kinga.