Maoni yako halafu iweje,kumbuka TBC ni TV ya taifa watu wanataka wapate habari bila chenga, kumbuka yaliyomkuta Marin Hassan pale Jangwani, ni sawa na yale yaliyotokea Cairo watu waliamua kutoka Tahrir square kwenda TV ya taifa(ya huko) kupinga yaliyokuwa yanaripotiwa juu ya kumpinga Mubarak, haya hayataishia Arusha