Maoni ya wanasheria kuhusu tukio la Makonda

mbona hawajaongelea sheria inasemaje kuhusu matusi.na kunamijitu inadhani kila akifanyacho mpinzani kilo sahh na kwa tabia za huyu mbunge hafai Jana nilimuona kw tv wakati anatoka mahakamani mambo aliyokuwa anafanya ni aibu kwa mtu wa hadhi yk kuyaonyesha mbele ya waandishi yaani anaongea hovyo hovyo sijuwi alikula maharage ya wapi huyu
 
Naona Tundu Lissu na wenzake wana wadanganya...! Matusi ya kubenea yalikuwa yanataka kuhatarisha amani na kuleta vurugu hivyo Paul Makonda alitumia busara ya hali ya juu kumuweka ndani(kumpumzisha) hata Lissu akileta ngebe atapumzishwa..!

Kubenea anapaswa kufunzwa jinsi ya kufanya kazi na serikali na kujua mipaka yake....

Uliyasikia wewe au unanukuu utetezi wa makonda?
 
Last edited by a moderator:
Naona Tundu Lissu na wenzake wana wadanganya...! Matusi ya kubenea yalikuwa yanataka kuhatarisha amani na kuleta vurugu hivyo Paul Makonda alitumia busara ya hali ya juu kumuweka ndani(kumpumzisha) hata Lissu akileta ngebe atapumzishwa..!

Kubenea anapaswa kufunzwa jinsi ya kufanya kazi na serikali na kujua mipaka yake....

Kila siku tunakueleza hizi ni hard news sio mambo ya kina Shilole...
 
Mie nimefungua thread nikidhani kuna wanasheria wa maana wamehojiwa,kumbe ni hao takataka!
 
Sijaona kauli yoyote ile ya kisheria hapo, zote zimekaa kisiasa maana kwa bahati mbaya wote hao ni wanasiasa waliosomea taaluma ya sheria, Lisu ndio anachekesha zaidi maana anaonekana kukubali kua Mkuu wa Wilaya ana hayo mamlaka, halafu anaenda mbele tena na kuipinga kauli yake mwenyewe kwa kusema kua atamshughulikia Makonda mpaka, akimbie wilaya, sasa sijui atamshughulikiaje mtu ambaye yeye mwenyewe amekiri kua anayo mamlaka.
 
Je Mkapa analikuwa na haki ya kutuita Watanzania MALOFA na Wapumbavu??????? Nani yuko juu ya sheria???????????????????
MAgufuli na Bunge Futeni vyeo vya Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya wanalipwa kwa Kodi zetu wakati hawa sio watumishi wa Umma bali ni Viongozi wa Kisiasa na wako pale kwa ajili ya kuitumikia CCM na Vibaraka wake na sio kuutumikia Umma wa Watanzania.
 
Mtamfafuta mchawi wa hii sakata msimpate! Hapa shida Bw Diisii ni ganja !
"cha Kyela"
Ni mziki mnene!
Na hasa ukiwela maganja mabichi !
 
Mheshimiwa Rais tunakuomba umhamishie huyu dogo Makonda huku Arusha mjini angalau kwa miezi sita tu!! tuone ana stamina kiasi gani?!



TUNDU LISSU

Mwanasehria Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, alisema mkuu wa wilaya ana mamlaka ya kuamuru mtu aliyefanyakosa mahali ambako hakuna polisi akamatwe.

Kama kuna polisi kwenye eneo la kosa hayo mamlaka hawezi kuwa nayo, na kama akitoa amri hiyo atakuwa anawajibika kutoa maelezo na sababu za kumkamata mtu huyo kwa hakimu wa wilaya.

"Alichokifanya DC wa Kinondoni ni uvunjaji wa sheria na tutamshughulikia hadi ataikimbia hiyo wilaya," alisema Lissu.

KIBATALA

Akizungumzia kuhusu mamlaka ya mkuu wa wilaya kutoa amri ya kukamatwa mbunge, mwanasheria Peter Kibatala alisema amefurahi kutokea kwa kesi hiyo na anaomba suala hilo kwenda mahakamani kama shtaka la jinai.

Alisema kesi hiyo itasaidia kuhoji mamlaka ya mkuu wa wilaya na namna ambavyo anayatekeleza.

"Vyovyote iwavyo lazima tuhakikishe tunawasilisha malalamiko kwa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora ili kupata uamuzi wa nini hasa mipaka kati ya serikali na maafisa wake na wabunge hasa wa upinzani," alisema Kibatala.

FREDERICK KIHWELO

Kwa upande wake mwanasheria wa mbunge huyo, Frederick Kihwelo alisema jambo la msingi katika suala hilo ni kuhakikisha cheo hicho kinaondolewa ili kiweze kuwaacha polisi wafanye kazi zao kwa uhuru.

"Inasikitisha kuona mkuu wa wilaya ni kada wa CCM, mjumbe wa siasa wa wilaya wa CCM na ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya hivyo ni bosi wa OCD na ofisa usalama wa wilaya," alisema.

Aliwataka wale waliopewa mamlaka hayo kuhakikisha wanatumia mamlaka hayo kwa busara badala ya kutumia nguvu na jeuri.
 
Nyau wewe, mbunge na mkuu wa wilaya, wajua tofauti zao kimamlaka?? Mpumbavu na lofa mkubwa wewe. Huyo Kubenea atakula uongo na matusi yake. Bahati yake Makonda ni mstaarabu na mwenye huruma sana, huyo mbunge alitakiwa ale kipondo cha haja kabla ya kuswekwa upango


Kafunge viatu vya wanaume wenzako yaweza kuwa wewe gasho.


swissme
 
Naona Tundu Lissu na wenzake wana wadanganya...! Matusi ya kubenea yalikuwa yanataka kuhatarisha amani na kuleta vurugu hivyo Paul Makonda alitumia busara ya hali ya juu kumuweka ndani(kumpumzisha) hata Lissu akileta ngebe atapumzishwa..!

Kubenea anapaswa kufunzwa jinsi ya kufanya kazi na serikali na kujua mipaka yake....
Huyu Tundu Lissu hata ndani ya Chadema wameanza kumtema.Kwa sasa CDM inawajenga kina MILLYA na MALYA........................
 
Back
Top Bottom