Mwanandani
Senior Member
- Apr 5, 2012
- 195
- 44
Ndugu yangu Mnyika,chunga sana na twakuombea kwa mwenyezi Mungu usije uka ingia kwenye mkenge wa rushwa sababu Ccm ndio silaa yao ya mwisho kuwategeni,kueni makini sana viongozi wetu.chunga heshima yako ulie itengeneza muda mwingi.