Hebu jieleze vizuri wewe!Jamani naombeni ushauri nimepata lll ya 23 naka kupata vyuo vya avfya vinavyo lipa vizuri naombeni orodha ya hivyo vyuo vya hapa dar lakin please nisaidieni
Umescore vp masomo ya science?Jamani naombeni ushauri nimepata lll ya 23 naka kupata vyuo vya avfya vinavyo lipa vizuri naombeni orodha ya hivyo vyuo vya hapa dar lakin please nisaidieni
chemistry C , bios C phys D kwa PCBUmescore vp masomo ya science?
Njia nyeupeeeee,,,,,,,,utaenda tena ondoa hofu dadachemistry C , bios C phys D kwa PCB
ni kaka bhana!Njia nyeupeeeee,,,,,,,,utaenda tena ondoa hofu dada
Asee mbna wame late sana kutoa matokeo hayo!
Hahahahaha naondoa hilo dada naweka kakani kaka bhana!
OK lakin vp kwa hiz marks naenda five kaka?Hahahahaha naondoa hilo dada naweka kaka
Hizi inategemeana na ufaulu wa wanafunzi kwa ujumla ila possibility ya kupata chance advance ipo kama umepata credit tanoOK lakin vp kwa hiz marks naenda five kaka?
Five unaenda kijana ondoa hofu wanachukua CCD sema ukienda PCB ukakaze unaenda kusoma combination ngumu kiasiOK lakin vp kwa hiz marks naenda five kaka?
dah thanks kakaFive unaenda kijana ondoa hofu wanachukua CCD sema ukienda PCB ukakaze unaenda kusoma combination ngumu kiasi