Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,121
Hii ni baada ya juhudi zake za kuipata bure timu hiyo kugonga ukuta .
Wanayanga wanashangazwa na mtu ambaye ni kiongozi wa yanga ambaye ana uwezo wa kuitafutia yanga udhamini mkubwa lakini eti haiwezekani mpaka apewe umiliki wa timu ! Yaani Manji mwenyekiti hawezi ila Manji mfanyabiashara anaweza ! Maajabu !
Hujuma zimeanza kwenye ngao ya hisani , timu inaongoza kwa dk 90 inakuwaje inakosa ngao ya jamii ?
Poleni wana Yanga , Njaa mbaya sana .
Wanayanga wanashangazwa na mtu ambaye ni kiongozi wa yanga ambaye ana uwezo wa kuitafutia yanga udhamini mkubwa lakini eti haiwezekani mpaka apewe umiliki wa timu ! Yaani Manji mwenyekiti hawezi ila Manji mfanyabiashara anaweza ! Maajabu !
Hujuma zimeanza kwenye ngao ya hisani , timu inaongoza kwa dk 90 inakuwaje inakosa ngao ya jamii ?
Poleni wana Yanga , Njaa mbaya sana .