Manispaa ya Shinyanga mjini pesa za kujikimu na nauli za Walimu wapya ziko wapi?

psy

Member
Oct 13, 2013
40
4
Cku ya kwanza kuripoti afisa utumishi wa manispaa aliwaambia walimu wapya waliopangiwa shy manispaaa kwamba watapewa pesa ya cku 4,coz govt imetuma pesa nusu,wakapewa pesa ya cku 4 cku ya tar 2/4..just imagine watu ni wagen shy,watalala wapp,watakula nn ugenin....tafadhal wapen pesa zao zilizobaki,pamoja na nauli zao,kuweni na utu jaman,mnategemea hawa walimu watakua wana moyo wakuwa2mikia wadogo zetu kweli jaman...nawasilisha wadau
 
Back
Top Bottom