Manispaa ya Kinondoni/magufuli

adobe

JF-Expert Member
May 6, 2009
2,776
1,877
Hawa jamaa wa manispaa/magufuli sijui kwanini wanaacha barabara ya kuanzia mwenge kwenda bunju kuwa chafu namna hii.barabara imejaa michanga na mwisho kunakuwa na mashimo.inaleta hadi kinyaa.tunaomba mkurugenzi wa manispaa/waziri magufuli mpite njia hii mjioneeee ni chafu hasa sehemu ya boko na bunju b
 
Back
Top Bottom