Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Poleni kina mama......hata kama iliandikwa ''mwanamke utazaa kwa uchungu'' naona hawa wahudumu nao wanazidisha uchungu huo, kwa kuwawekeeni mazingira magumu....but ukiangalia vizuri issue hii tatizo ni dola!
BWT...thought initially Mwana wa Mungu ni he...kumbe ni she...!
BWT...thought initially Mwana wa Mungu ni he...kumbe ni she...!