Maneno yetu ya kiswahili

Mateka

Senior Member
May 2, 2011
131
41
Kuna baadhi ya maneno yana maana nzuri tu lakini ukikosea kujielezea watu wanaweza wakafikiria vingine kabisa.
1.Kumega
2.kugonga
3.Mhogo
4.Kukojoa
5.Kiburudisho
6.Jogoo
7......
8.......
.............

Tuwe makini jamani tunapoyatumia
 
Kupigwa au kupiga kipara, chumvini au uvinza,handaki,kukwanguliwa,kukunwa,nnya,bata,ringi yani dah!
 
Back
Top Bottom